Mchokozi wa mambo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 201
- 159
Naomba msaada kwa anayefahamu anaisaidie nipate nafasi chuo cha afya cha serikali, maana nimeomba mpka nimechoka wizara ya afya lakini cpati nafasi na nina Credit 4 na pass 5 Sina F hata moja na katika hizo credit 2 za sayansi na mbili sanaa. Elimu yangu kidato cha nne