Tangu Ijumaa nimemtafuta mdogo wangu Mshana jr. haonekani, hajibu vijembe, wala pm yupo wapi?.
Kuna uzi umekuja kama utani lakini mimi nipo serious naomba Mshana ajitokeze sababu kuna uzi aliutoa last week na mtu mmoja alikutishia kuwa u prove yale aliyokuwa anayasema kuhusu Lipumba na kuna vitu vingine.
Kuna member naye kamhusisha na kukamatwa kwa scorpion na kupotea kwake. Personally naomba nimsikie akirudi kwenye forum otherwise tutaanza kutafuta. Njoo Forum Mshana usitufanye watu tukachanganyikiwa.
Kuna uzi umekuja kama utani lakini mimi nipo serious naomba Mshana ajitokeze sababu kuna uzi aliutoa last week na mtu mmoja alikutishia kuwa u prove yale aliyokuwa anayasema kuhusu Lipumba na kuna vitu vingine.
Kuna member naye kamhusisha na kukamatwa kwa scorpion na kupotea kwake. Personally naomba nimsikie akirudi kwenye forum otherwise tutaanza kutafuta. Njoo Forum Mshana usitufanye watu tukachanganyikiwa.