Pi Network
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 290
- 319
Jamani kuna kitu nilikuwa natazamia kukifanya mda mfupi ujao, lakini kitendo tu kuingia humu ndani na kukutana na habari moto moto nyingine zenye kuburudisha, nyingine za kusisimua, na nyingine zenye kuhuzunisha kimesababisha kusahau hata nilichokuwa natarajia kufanya.
Hivyo kama kichwa cha habari kinavyojieleza shilingi 50,000/= itatolewa kwa atakae patia.
Nitakuwa mwaminifu kwa atakae shinda, na nakala ya malipo nitaiweka hapa hapa kwa idhini ya mshindi.
NB: Vigezo na masharti kuzingatiwa.
[UPDATE ] Mshindi wa bahati nasibu hii atatangazwa kesho asubuhi kupitia thread hii; hivyo washiriki wote na wanaoendelea kushiriki mnashauriwa kushiriki zaidi na zaidi kadili mtu awezavyo. Lakini pia hapo kesho mda wa saa mbili asubuhi jina la mshindi litabandikwa hapa na pesa yake itatumwa kwa njia ya simu ya mkononi kisha nakala ya malipo itawekwa hapa kama ushahidi.
Wenu mwaminifu "Wamjengoni"
Hivyo kama kichwa cha habari kinavyojieleza shilingi 50,000/= itatolewa kwa atakae patia.
Nitakuwa mwaminifu kwa atakae shinda, na nakala ya malipo nitaiweka hapa hapa kwa idhini ya mshindi.
NB: Vigezo na masharti kuzingatiwa.
[UPDATE ] Mshindi wa bahati nasibu hii atatangazwa kesho asubuhi kupitia thread hii; hivyo washiriki wote na wanaoendelea kushiriki mnashauriwa kushiriki zaidi na zaidi kadili mtu awezavyo. Lakini pia hapo kesho mda wa saa mbili asubuhi jina la mshindi litabandikwa hapa na pesa yake itatumwa kwa njia ya simu ya mkononi kisha nakala ya malipo itawekwa hapa kama ushahidi.
Wenu mwaminifu "Wamjengoni"