WanaJF naomba kukumbushwa; zawadi nono kupitia M-PESA, Tigo Pesa, au Airtel Money kwa atakae patia

kwa niaba ya Wamjengoni, tunasikitika kwamba hadi sasa mshindi hajapatikana.... zawadi bado ipo na washiriki wasikate tamaa wasubiri swali jingine toka kwa Wamjengoni...


Ni utani tu.
 
Ulitaka kusali ulale, baada ya kuingia jf ulijikuta kunogewa au kuskitishwa km ulivyosema na kukupelekea ulale bila kusali
 
Unataka namba ya demu fulani hivi unayemzimia hapa Jf sema mpaka sasa hajacomment.
Akicoment tuu chochote utamtangaza ndio mshindi ili umwambie atumie namba umuM-pese then baada ya hapo the deal is done.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…