WanaJF naomba mnisaidie huu wimbo wa kumsifu baba nyerere alipofariki mwaka 1999 kunitajia hata jina la wimbo

WanaJF naomba mnisaidie huu wimbo wa kumsifu baba nyerere alipofariki mwaka 1999 kunitajia hata jina la wimbo

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595
Sauti za kike zinasikika zikiimba maneno yafuatayo

"Ni wajibu wetu kumshukuru Mwalimu nyerere,ni wewe ulianzisha umoja wa taifa,ni wewe ulianzisha cha chetu tanu"

Wakuu hayo Ndio maneno yanayoanza na huo wimbo.Naamini humu kuna wakongwe wengi wanaoweza kuutambua huo wimbo wa maneno hayo ya mwanzo.

Kipindi baba wa taifa ana fariki nikilikuwa mdogo wa umri chini ya miaka 17 hivyo niliweza kuufahamu huo wimbo kilindi kile ila sasa sina kumbukumbu za kujua hata wahusika waliouimba wimbo huo.

Dah na umepigwa sasa hivi kwenye radio zikafuata speeches za baba wa taifa

Naomba msaada wenu.

Tumeajaaliwa sana sisi Tanzaniaaaa
Ngao yetu umoja tumezingatiaaa
Heri kujiuliza bila kudhania,mambo gani muhimu ya kuzingatia....
Ni wajibu kumshukuru baba Nyerereee,tumsifu kwa furaha vigelegeleee...mwalimu baba yetu tunakushukuru, mwalimu ndugu yetu tunakuheshimu....ni wewe ulianzisha chama chetu tanu, ni wewe ulianzisha umoja wa taifaaaa aaa Nyerereeeee......
 
Tumeajaaliwa sana sisi Tanzaniaaaa
Ngao yetu umoja tumezingatiaaa
Heri kujiuliza bila kudhania,mambo gani muhimu ya kuzingatia....
Ni wajibu kumshukuru baba Nyerereee,tumsifu kwa furaha vigelegeleee...mwalimu baba yetu tunakushukuru, mwalimu ndugu yetu tunakuheshimu....ni wewe ulianzisha chama chetu tanu, ni wewe ulianzisha umoja wa taifaaaa aaa Nyerereeeee......
 
Tumeajaaliwa sana sisi Tanzaniaaaa
Ngao yetu umoja tumezingatiaaa
Heri kujiuliza bila kudhania,mambo gani muhimu ya kuzingatia....
Ni wajibu kumshukuru baba Nyerereee,tumsifu kwa furaha vigelegeleee...mwalimu baba yetu tunakushukuru, mwalimu ndugu yetu tunakuheshimu....ni wewe ulianzisha chama chetu tanu, ni wewe ulianzisha umoja wa taifaaaa aaa Nyerereeeee......



Mkuu umeupatia sana aisee..Nisaidie niupate na mimi
 
Tumeajaaliwa sana sisi Tanzaniaaaa
Ngao yetu umoja tumezingatiaaa
Heri kujiuliza bila kudhania,mambo gani muhimu ya kuzingatia....
Ni wajibu kumshukuru baba Nyerereee,tumsifu kwa furaha vigelegeleee...mwalimu baba yetu tunakushukuru, mwalimu ndugu yetu tunakuheshimu....ni wewe ulianzisha chama chetu tanu, ni wewe ulianzisha umoja wa taifaaaa aaa Nyerereeeee......
Tumeajaaliwa sana sisi Tanzaniaaaa
Ngao yetu umoja tumezingatiaaa
Heri kujiuliza bila kudhania,mambo gani muhimu ya kuzingatia....
Ni wajibu kumshukuru baba Nyerereee,tumsifu kwa furaha vigelegeleee...mwalimu baba yetu tunakushukuru, mwalimu ndugu yetu tunakuheshimu....ni wewe ulianzisha chama chetu tanu, ni wewe ulianzisha umoja wa taifaaaa aaa Nyerereeeee......
 
Jamani mwenyewe nimekua nautafuta sana huo wimbo.Yaani nimesha search koote sijapata.Kwa atakayeupata auweke hapa please?
 
Jamani mwenyewe nimekua nautafuta sana huo wimbo.Yaani nimesha search koote sijapata.Kwa atakayeupata auweke hapa please?
Ninayo lyrics tu kichwani.
Nikipata muda nitaweka beti zote.
Au nitaimba na sauti yangu ya kumi na mbili
 
Back
Top Bottom