WanaJF naomba mnisaidie huu wimbo wa kumsifu baba nyerere alipofariki mwaka 1999 kunitajia hata jina la wimbo

WanaJF naomba mnisaidie huu wimbo wa kumsifu baba nyerere alipofariki mwaka 1999 kunitajia hata jina la wimbo

Tumeajaaliwa sana sisi Tanzaniaaaa
Ngao yetu umoja tumezingatiaaa
Heri kujiuliza bila kudhania,mambo gani muhimu ya kuzingatia....
Ni wajibu kumshukuru baba Nyerereee,tumsifu kwa furaha vigelegeleee...mwalimu baba yetu tunakushukuru, mwalimu ndugu yetu tunakuheshimu....ni wewe ulianzisha chama chetu tanu, ni wewe ulianzisha umoja wa taifaaaa aaa Nyerereeeee......
Mkuu nasubiri Uiandike FULL!
 
Ni wimbo wa zamani kabla hajafa enzi zetu wahenga tulikua tunaimba kwenye kwaya, sikumbuki exactly title ila tulikua tunaita Mwalimu ndugu yetu
 
Poa mkuu.
Ukiupata uandike kwa maneno utupie hapa na sisi ambao ni wavivu wa Luninga tucelebrate hapa
Mkuu tuutafute kwa pamoja,me napita huku wewe pita kule halafu tukutane katikati.
 
Ni wimbo wa zamani kabla hajafa enzi zetu wahenga tulikua tunaimba kwenye kwaya, sikumbuki exactly title ila tulikua tunaita Mwalimu ndugu yetu
Yah ni kweli katika tafuta zangu nikagundua kua ulitoka punde tu baada ya uhuru
 
Sauti za kike zinasikika zikiimba maneno yafuatayo

"Ni wajibu wetu kumshukuru Mwalimu nyerere,ni wewe ulianzisha umoja wa taifa,ni wewe ulianzisha cha chetu tanu"

Wakuu hayo Ndio maneno yanayoanza na huo wimbo.Naamini humu kuna wakongwe wengi wanaoweza kuutambua huo wimbo wa maneno hayo ya mwanzo.

Kipindi baba wa taifa ana fariki nikilikuwa mdogo wa umri chini ya miaka 17 hivyo niliweza kuufahamu huo wimbo kilindi kile ila sasa sina kumbukumbu za kujua hata wahusika waliouimba wimbo huo.

Dah na umepigwa sasa hivi kwenye radio zikafuata speeches za baba wa taifa

Naomba msaada wenu.
Naona hujadaidiwa... Niliona post yako muda tu, tatizo moja, huu wimbo mwenyewe naupenda sana. Ila sijawahi kufanikiwa kupata wa John Komba... Nilipataga version nyingine hauchangamki kama ule wa Komba. Pia, kuupata sasa ilikuwa mbinde na nilikiwa sijawahi kudownload.

Nimeona kuupload hapa 66mb itakuwa nouma. If you don't mind this version... Karibu
http://subyproduction.com/Nyerere.wav

Wait speech iishe... Wimbo unaanza 02:00

-callmeGhost
 
Naona hujadaidiwa... Niliona post yako muda tu, tatizo moja, huu wimbo mwenyewe naupenda sana. Ila sijawahi kufanikiwa kupata wa John Komba... Nilipataga version nyingine hauchangamki kama ule wa Komba. Pia, kuupata sasa ilikuwa mbinde na nilikiwa sijawahi kudownload.

Nimeona kuupload hapa 66mb itakuwa nouma. If you don't mind this version... Karibu
http://subyproduction.com/Nyerere.wav

Wait speech iishe... Wimbo unaanza 02:00

-callmeGhost


Nashukuru sana mkuu
 
Wimbo unaitwa Nyerere Baba yetu tunakushukuru. Muimbaji ni Marahemu Capt. John Komba, uliimbwa na bendi ya TOT.
 
Back
Top Bottom