WanaJF, Sijielewi ninatatizo gani

Nenda kapime Hospitali zipo na Ma-Daktari wapo Serikali inawalipa kwa kazi hizo hizo za U-Daktari wewe badala ya kwenda kupima unataka ushauri hapa? Kapime hospitali itajulikana una Mimba au kama una Malaria.
 
Nunua pampers kabisa mama,mwanadamu ameshaanza safari yake ya matumaini.
 


Hapa nadhani wewe hutumii kinga (contraceptive) ya aina yoyote ile. Ningekushauri ufikirie jambo hili. Haya mambo ya wewe kutembea COMANDO-STYLE ukitegemea kudra za Mungu na kuwa labda hizo njemba zitakuwa zimevaa jezi ni kucheza RUSSIAN ROULETTE.

Mimi wasiwasi wangu sio hiyo mimba. Kama imetungwa basi GOD-BLESS. Wasiwasi wangu ni magonjwa. Najua maisha ni mafupi lakini tukifanya mchezo yanaweza kuwa mafupi sana.

Nakutakia kila la heri.
 
Nakushauri upime damu utskuwa na upungufu wa damu au 2. Una mimba inapungua ambayo ni tstizo kubwa. Km una upungufu wa damu rekebishs unajua vyakula vya kuboost damu la hujui naweza kupa njia r a hisi sana ya kuboost damu within a week. Pia ningekushauri upunguze kula red meat.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…