Uchaguzi 2020 WanaJF tunaomuunga mkono Dkt. Magufuli sasa ni muda muafaka wa kumsaidia kupata ushindi wa kishindo

Uchaguzi 2020 WanaJF tunaomuunga mkono Dkt. Magufuli sasa ni muda muafaka wa kumsaidia kupata ushindi wa kishindo

genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2011
Posts
428
Reaction score
337
Ndugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya kwa miaka ya nyuma, Magufuli Jembe ameleta mabadiliko makubwa sanaa. Tumpe tena mitano Tanzania iwe kama Ulaya.

Na kama mnavyojua, Sisi wanachama wa JF huenda ni watu ambao tumo katika kundi la watu wenye elimu na tuna upeo mkubwa wa mambo katika nchi yetu pendwa sana Tanzania.

Sasa ni jukumu letu kuchukua hatua katika kipindi hiki cha lala salama kusaidia kufutilia mbali juhudi za mabeberu na kibaraka wao Tundu Lisu, wajue Watanzania tumeamka, hatutaki tena huu upuuzi wao.

Sasa mwana JF, ni muda muafaka sasa wa kuingia front, kuchukua hatua na kumsaidia Magufuli kushinda kwa kishindo kitakachotikisa Afrika na Dunia kwa ujumla.

1. Ongea na Familia yako, washawishi walio kwenye himaya yako wamchague Magufuli
Kaa chini, waelezee kinagaubaga mafanikio ya serikali ya awamu ya tano, waelezee hali ya mwenendo maendeleo ya miradi ya barabara , maji , umeme, elimu shile za msingi bure, mikopo kwa elimu ya juu hakuna tena mikopo. Waombe watu wa familia yako wampigie kura Magufuli aje aboreshe maisha yao zaidi kwa miaka mingine mitano.

2. Wapigie simu ndugu, jamaa na marafiki huko kijijini kwenu, mijini na popote washawishi wampatie Magufuli kura zote
Wanachama wa JF tupo wengi sana, Iwapo kila mmoja atamtafutia Magufuli kura kumi tu basi CCM itashinda kwa kisndo kikubwa sanaaaa.

Hebu tuweke commitment, kila mtu anaye ona juhudu za Rais wetu Magufuli katila kuijenga nchi hii, awashawishi watu angalau kumi anaowamudu wampigie kura Magufuli.

Ndugu zangu, hii ishu siyo ya Magufuli peke yake, hii ngoma ni yetu sote. John Pombe Magufuli amejitoa sadaka kwa maendeleo ya Taifa letu Tanzania.

Sasa ni jukumu letu kuhakikisha anashinda kwa kishindo cha A+
 
Yaan unaleta mada kisa mpwa wako ana comment kama kawa wa ccm....2020 ni mwingine aisee niwape pole, alafu mna misslead meko, aliemshauri akamalizie kampen kaskazin hampend kabisa, kuna majimbo hata yafanyaje hayabadiliki, mwaka huu wizi hakuna, tuone mnatokea waap
 
Ndugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya kwa miaka ya nyuma, Magufuli Jembe ameleta mabadiliko makubwa sanaa. Tumpe tena mitano Tanzania iwe kama Ulaya...
Tuunge mkono kupiga trilion 1.5 kisha wakamtoa CAG kafara? au tuunge mkono kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge? au tuunge mkono 10% zake kwenye ununuzi wa Ndege? au tuunge mkono kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji wake?
 
Msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Usaliti ni kuiba trilion 1.5 kisha kumtoa CAG kafara na kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge
 
Ndugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya kwa miaka ya nyuma, Magufuli Jembe ameleta mabadiliko makubwa sanaa. Tumpe tena mitano Tanzania iwe kama Ulaya...
Labda muingine NEC lakini sio mitandaoni au mitaani.
 
Ndugu atakayenipigia simu kunishawishi nimpigie kura JPM basi ahakikishe anajiweza!Sio awe yule ambaye mwanaye akiumwa ananipigia simu kunipiga mzinga!Shwain!
 
Kila kitu ni kukopi tu Kama baba yenu , anavyokopi sera za Lisu kuhusu bima!!
Lissu alilala uwanjani karatu juzi, leo naye katangaza kulala uwanjani ni mzee wa kucopy na kupaste hata vitu vidogo hana ubunifu kabisa
 
Back
Top Bottom