Uchaguzi 2020 WanaJF tunaomuunga mkono Dkt. Magufuli sasa ni muda muafaka wa kumsaidia kupata ushindi wa kishindo

Uchaguzi 2020 WanaJF tunaomuunga mkono Dkt. Magufuli sasa ni muda muafaka wa kumsaidia kupata ushindi wa kishindo

Ndugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya kwa miaka ya nyuma, Magufuli Jembe ameleta mabadiliko makubwa sanaa. Tumpe tena mitano Tanzania iwe kama Ulaya.

Na kama mnavyojua, Sisi wanachama wa JF huenda ni watu ambao tumo katika kundi la watu wenye elimu na tuna upeo mkubwa wa mambo katika nchi yetu pendwa sana Tanzania.

Sasa ni jukumu letu kuchukua hatua katika kipindi hiki cha lala salama kusaidia kufutilia mbali juhudi za mabeberu na kibaraka wao Tundu Lisu, wajue Watanzania tumeamka, hatutaki tena huu upuuzi wao.

Sasa mwana JF, ni muda muafaka sasa wa kuingia front, kuchukua hatua na kumsaidia Magufuli kushinda kwa kishindo kitakachotikisa Afrika na Dunia kwa ujumla.

1. Ongea na Familia yako, washawishi walio kwenye himaya yako wamchague Magufuli
Kaa chini, waelezee kinagaubaga mafanikio ya serikali ya awamu ya tano, waelezee hali ya mwenendo maendeleo ya miradi ya barabara , maji , umeme, elimu shile za msingi bure, mikopo kwa elimu ya juu hakuna tena mikopo. Waombe watu wa familia yako wampigie kura Magufuli aje aboreshe maisha yao zaidi kwa miaka mingine mitano.

2. Wapigie simu ndugu, jamaa na marafiki huko kijijini kwenu, mijini na popote washawishi wampatie Magufuli kura zote
Wanachama wa JF tupo wengi sana, Iwapo kila mmoja atamtafutia Magufuli kura kumi tu basi CCM itashinda kwa kisndo kikubwa sanaaaa.

Hebu tuweke commitment, kila mtu anaye ona juhudu za Rais wetu Magufuli katila kuijenga nchi hii, awashawishi watu angalau kumi anaowamudu wampigie kura Magufuli.

Ndugu zangu, hii ishu siyo ya Magufuli peke yake, hii ngoma ni yetu sote. John Pombe Magufuli amejitoa sadaka kwa maendeleo ya Taifa letu Tanzania.

Sasa ni jukumu letu kuhakikisha anashinda kwa kishindo cha A+
HILO LIKO WAZI MIMI NATAMBUA WATU WENGI KUANZIA VIJANA NA RIKA ZOTE MIOYONI MWAO AMEJAA #MAGUFULI KUTOKANA NA KAZI KUBWA AMBAYO KAIFANYA KWA KULITAMBUA HILO WENGI SANA WAMEONA WAMUUNGE MKONO SI TUU KWA KUJIUNGA NA CHAMA CHA MAPINDUZI WENGINE WAMEBAKI NA ITIKADI ZAO LAKINI KURA YAO YA NDIO ITAENDA KWA RAIS #MAGUFULI
 

Attachments

  • CCM.jpg
    CCM.jpg
    147.5 KB · Views: 2
Ndugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya kwa miaka ya nyuma, Magufuli Jembe ameleta mabadiliko makubwa sanaa. Tumpe tena mitano Tanzania iwe kama Ulaya.

Na kama mnavyojua, Sisi wanachama wa JF huenda ni watu ambao tumo katika kundi la watu wenye elimu na tuna upeo mkubwa wa mambo katika nchi yetu pendwa sana Tanzania.

Sasa ni jukumu letu kuchukua hatua katika kipindi hiki cha lala salama kusaidia kufutilia mbali juhudi za mabeberu na kibaraka wao Tundu Lisu, wajue Watanzania tumeamka, hatutaki tena huu upuuzi wao.

Sasa mwana JF, ni muda muafaka sasa wa kuingia front, kuchukua hatua na kumsaidia Magufuli kushinda kwa kishindo kitakachotikisa Afrika na Dunia kwa ujumla.

1. Ongea na Familia yako, washawishi walio kwenye himaya yako wamchague Magufuli
Kaa chini, waelezee kinagaubaga mafanikio ya serikali ya awamu ya tano, waelezee hali ya mwenendo maendeleo ya miradi ya barabara , maji , umeme, elimu shile za msingi bure, mikopo kwa elimu ya juu hakuna tena mikopo. Waombe watu wa familia yako wampigie kura Magufuli aje aboreshe maisha yao zaidi kwa miaka mingine mitano.

2. Wapigie simu ndugu, jamaa na marafiki huko kijijini kwenu, mijini na popote washawishi wampatie Magufuli kura zote
Wanachama wa JF tupo wengi sana, Iwapo kila mmoja atamtafutia Magufuli kura kumi tu basi CCM itashinda kwa kisndo kikubwa sanaaaa.

Hebu tuweke commitment, kila mtu anaye ona juhudu za Rais wetu Magufuli katila kuijenga nchi hii, awashawishi watu angalau kumi anaowamudu wampigie kura Magufuli.

Ndugu zangu, hii ishu siyo ya Magufuli peke yake, hii ngoma ni yetu sote. John Pombe Magufuli amejitoa sadaka kwa maendeleo ya Taifa letu Tanzania.

Sasa ni jukumu letu kuhakikisha anashinda kwa kishindo cha A+
Hapati kitu aende zake chato
 
Magufuli anaishi ndani ya mioyo ya watanzania na ndio mwenye nchi hii. Tarehe 28/10/2020 ndio tunaenda kuudhihirishia ulimwengu kwa wingi wa kura zetu. Ni lazima kazi iendelee.




MAGUFULI4LIFE.
 
Thanks wote ....tumeungana ....tumeweza
 
Rais Magufuli ushindi wake ni 98%

Ondoa shaka

Chadema watajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Hapo kwa wabunge pametimia
 
Back
Top Bottom