Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Ndio maana nikasema,hao watakaonipigia simu wawe wanajiweza!Maana watu tunalalamika hali imekuwa ngumu halafu mtu anipigie simu eti mchague JPM!Nitamwambia sawa ila ahakikishe hanisumbui!Inatakiwa bado uwafikirie,kwani sisi site ni ndugu na dunia nimoja,ila yafaa uendelee kuwaelimisha waweze kukuelewa na kufanya like kitakacho wasaidia Watanzania wote,bila kuwabagua kwa itikadi zao au vinginevyo.
Msisahau kumsisitiza mgombea wenu aanze kufungasha atupishe kwenye ikulu ya watanzania aliyoinajis kwa miaka mitano na ameitia mikosi, asisahau na zile hirizi zake zinazopumuaNdugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya kwa miaka ya nyuma, Magufuli Jembe ameleta mabadiliko makubwa sanaa. Tumpe tena mitano Tanzania iwe kama Ulaya...
Wengine wamesanda ..Lissu hana genes za kitanzania labda family tree moja na Ernesto "Che" Guevara....Kwa hapa JF wana CCM kampeni timu hamzidi kumi, mkiongozwa na jini Bia Yetu
Inabidi nawe ututhibitishie uzalendo wako ni ule halisi au uke maslahi.Wengine wamesanda ..Lissu hana genes za kitanzania labda family tree moja na Ernesto "Che" Guevara....
Mavi-jana ya CCM haya ubongo wa kufanya vitu in innovative ways, kila kitu yanasubiri vijana wa CHADEMA waanzishe yenyewe yanukuru! Halafu hayanaga mishipa ya aibu kama lilivyo limwenyekiti lao! Hapa ile dhana ya kwamba vijana wengi wenye akili wako upinzani huwa inajidhihirisha!Kila kitu ni kukopi tu Kama baba yenu , anavyokopi sera za Lisu kuhusu bima!!
siongei na mijitu iliyokuja mjini ukubwani..neverInabidi nawe ututhibitishie uzalendo wako ni ule halisi au uke maslahi.
Umekosea sasa Mimi wa kijijini ndugusiongei na mijitu iliyokuja mjini ukubwani..never
Uko pekee yako tuNdugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya kwa miaka ya nyuma, Magufuli Jembe ameleta mabadiliko makubwa sanaa. Tumpe tena mitano Tanzania iwe kama Ulaya...
Ni wazi jpm amefanya makubwa sana katika taifa hiliNdugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya kwa miaka ya nyuma, Magufuli Jembe ameleta mabadiliko makubwa sanaa. Tumpe tena mitano Tanzania iwe kama Ulaya...
Ni haki yako,ila isiwe wewe peke yako kwani moyo wa mtu msitu,na vilevile zipo sababu nyingi kwanini hata ndugu zako wasikuambie ya moyoni mwao.Mimi na jamaa zangu ndugu na marafiki nia yetu ni moja tu, kura kwa mgombea wa chama cha mapinduzi. Kuilinda amani ya taiga letu kwa kuifunga ile midomo michafu
Ya haki ama vinginevyoNi wazi jpm amefanya makubwa sana katika taifa hili
Mpaka sasa Magufuli anayo makundi haya yakimsaidia kushinda...WanaJF tunaomuunga mkono Dkt. Magufuli sasa ni muda muafaka kuingia kazini kumsaidia ushindi wa kishindo
Shida kuna kitu kidogo wore hao wameshindwa kujua mahitaji ya Watanzania,Kwa msaada tu usio rasmi,uhuru,haki na Maendeleo ya watu.Mpaka sasa Magufuli anayo makundi haya yakimsaidia kushinda...
Kama pamoja na hao wote bado anahitaji msaada wetu kupambana na jeshi la mtu moja, basi Mh. Tundu Antiphas Lissu ni shujaa na si mtu wa kawaida...NI YEYE TU!
- Tume ya Uchaguzi
- Msajili wa Vyama
- Jeshi la Polisi
- Usalama wa Taifa
- Tume ya Maadili
- TCRA
- TBC
- TRA
- Vituo binafsi vya TV
- Wasanii
- Wakurugenzi wa Wilaya
- Wakurugenzi wa Mikoa
- Viongozi wa Bakwata
- Viongozi wa Madhehebu ya Kikristo
Hivi nilisoa huu ui vibaya hapo awali au kuna uzi mwingine wenye tite kama hii ila wa tundu lissu?Ndugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya kwa miaka ya nyuma, Magufuli Jembe ameleta mabadiliko makubwa sanaa. Tumpe tena mitano Tanzania iwe kama Ulaya.
Na kama mnavyojua, Sisi wanachama wa JF huenda ni watu ambao tumo katika kundi la watu wenye elimu na tuna upeo mkubwa wa mambo katika nchi yetu pendwa sana Tanzania.
Sasa ni jukumu letu kuchukua hatua katika kipindi hiki cha lala salama kusaidia kufutilia mbali juhudi za mabeberu na kibaraka wao Tundu Lisu, wajue Watanzania tumeamka, hatutaki tena huu upuuzi wao.
Sasa mwana JF, ni muda muafaka sasa wa kuingia front, kuchukua hatua na kumsaidia Magufuli kushinda kwa kishindo kitakachotikisa Afrika na Dunia kwa ujumla.
1. Ongea na Familia yako, washawishi walio kwenye himaya yako wamchague Magufuli.
Kaa chini, waelezee kinagaubaga mafanikio ya serikali ya awamu ya tano, waelezee hali ya mwenendo maendeleo ya miradi ya barabara , maji , umeme, elimu shile za msingi bure, mikopo kwa elimu ya juu hakuna tena mikopo. Waombe watu wa familia yako wampigie kura Magufuli aje aboreshe maisha yao zaidi kwa miaka mingine mitano.
2. Wapigie simu ndugu, jamaa na marafiki huko kijijini kwenu, mijini na popote washawishi wampatie Magufuli kura zote.
Wanachama wa JF tupo wengi sana, Iwapo kila mmoja atamtafutia Magufuli kura kumi tu basi CCM itashinda kwa kisndo kikubwa sanaaaa.
Hebu tuweke commitment, kila mtu anaye ona juhudu za Rais wetu Magufuli katila kuijenga nchi hii, awashawishi watu angalau kumi anaowamudu wampigie kura Magufuli.
Ndugu zangu, hii ishu siyo ya Magufuli peke yake, hii ngoma ni yetu sote. John Pombe Magufuli amejitoa sadaka kwa maendeleo ya Taifa letu Tanzania.
Sasa ni jukumu letu kuhakikisha anashinda kwa kishindo cha A+
Sikusoma utopolo wako ilanakujibu kwakusema hapana hatumtaki mfilisi mkubwa kuchoma nyavu zetu halali naleseni tumelipa uvuvi unafanyika wazii hata aliowatuma walisema tumekidhi vigezo ilawao wametumwa pesa unyanganyi wawa wazi kwakujidaia madaraka wavuvi wote nchi nzima muda umefika ni zamu yetu sasaNdugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya kwa miaka ya nyuma, Magufuli Jembe ameleta mabadiliko makubwa sanaa. Tumpe tena mitano Tanzania iwe kama Ulaya.
Na kama mnavyojua, Sisi wanachama wa JF huenda ni watu ambao tumo katika kundi la watu wenye elimu na tuna upeo mkubwa wa mambo katika nchi yetu pendwa sana Tanzania.
Sasa ni jukumu letu kuchukua hatua katika kipindi hiki cha lala salama kusaidia kufutilia mbali juhudi za mabeberu na kibaraka wao Tundu Lisu, wajue Watanzania tumeamka, hatutaki tena huu upuuzi wao.
Sasa mwana JF, ni muda muafaka sasa wa kuingia front, kuchukua hatua na kumsaidia Magufuli kushinda kwa kishindo kitakachotikisa Afrika na Dunia kwa ujumla.
1. Ongea na Familia yako, washawishi walio kwenye himaya yako wamchague Magufuli
Kaa chini, waelezee kinagaubaga mafanikio ya serikali ya awamu ya tano, waelezee hali ya mwenendo maendeleo ya miradi ya barabara , maji , umeme, elimu shile za msingi bure, mikopo kwa elimu ya juu hakuna tena mikopo. Waombe watu wa familia yako wampigie kura Magufuli aje aboreshe maisha yao zaidi kwa miaka mingine mitano.
2. Wapigie simu ndugu, jamaa na marafiki huko kijijini kwenu, mijini na popote washawishi wampatie Magufuli kura zote
Wanachama wa JF tupo wengi sana, Iwapo kila mmoja atamtafutia Magufuli kura kumi tu basi CCM itashinda kwa kisndo kikubwa sanaaaa.
Hebu tuweke commitment, kila mtu anaye ona juhudu za Rais wetu Magufuli katila kuijenga nchi hii, awashawishi watu angalau kumi anaowamudu wampigie kura Magufuli.
Ndugu zangu, hii ishu siyo ya Magufuli peke yake, hii ngoma ni yetu sote. John Pombe Magufuli amejitoa sadaka kwa maendeleo ya Taifa letu Tanzania.
Sasa ni jukumu letu kuhakikisha anashinda kwa kishindo cha A+