WanaJF tunaomuunga mkono Magufuli njooni tukutane hapa

WanaJF tunaomuunga mkono Magufuli njooni tukutane hapa

Naona kila kona mnaitana kujipanga kumpa promo aongezewe muda

Mmepotea
Wamekosa radhi za jamii hawa mazwazwa....! And to be honest, kwa status hii ya CHADEMA iliyopo hivi sasa; hadi naogopa!!!
 
Wewe ndiye uliyesomea kwenye mwembe juu. Mtoa mada yuko very specific, kwamba WANAO MUUNGA mkono mkono RAIS Magufuli, ndio wajitokeze. Sasa ww kama humuungi, Mada hiyo si yako waachie wahusika.
Hivi kipindi wengine wanasoma, akili mliweka makalioni? Sasa tuunge kipi? Pumbavu
 
Magufuli anapaswa kuwa dikteta atuongoze hadi yeye mwenyewe atakapotaka
 
Kiukweli Magufuli anafanya kazi ngumu sana... Maamuzi yanayo wagusa na kuwaathiri hata marafiki zako ni magumu sana kuyatekeleza waziwazi, ila yeye haogopi!!! Duh....
Hongera zake nyingi, Mungu aendelee kumtia nguvu ktk kutekeleza majukumu yake...
 
Hivi hizi shule mlikuwa mnasomea kwenye miembe juu? Sasa mleta Uzi tumunge magufuli kwa kipi? Maana kuna mengine hatuyaungi, mengine tunaunga, kama lile la mimba!!!! Which is which? Nendeni shule mpate maarifa
Shule walikuwa wanasomea ujinga pumbafyuu wa head hao [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] in faiza's voice!!
 
Back
Top Bottom