Wow... promise you gonna marry me?Yani ungejua vile nakupenda Daby wangu hata usingeniwazia hayo
Nakupenda nakupenda nakupenda mwaah
I promise myloveWow... promise you gonna marry me?
Hadi tukufe wote eeh. Na mbinguni nishakuwahi ujueI promise mylove
Nataka niwe nawe milele
Ha haa huko tusizibiane fursa banaHadi tukufe wote eeh. Na mbinguni nishakuwahi ujue
Kwani huko unampango wa kuwa na nani?Ha haa huko tusizibiane fursa bana
Kwani we una mpango wa kua na mwingine huko?Kwani huko unampango wa kuwa na nani?
Linipite kushoto hilo mimi.Kwani we una mpango wa kua na mwingine huko?
Hee yani mie nikutangulie nikuache ukiwa unafanya nini huku nyuma?Linipite kushoto hilo mimi.
Kama maandiko yanavyosema awaunganishaye bwana hata msumeno hautawatenganisha.
Tuombe tu utangulie wewe maana mimi nikiwahi wanaweza kunirubuni bure.
Ina maana mwenza mie hunipendi eeeeeMke mwenza yameanzi lini tena hayo?
Mwenza, hisia za mtu zinatamani popote.Mke mwenza yameanzi lini tena hayo?
Mwenza kwahiyo unataka ummiliki mwanamke mwenzio!!!Ina maana mwenza mie hunipendi eeeee
Ujue tunashare mume, haya.
Mwenza, hisia za mtu zinatamani popote.
Nampenda sana huyu msichana/mwanamke.
I'll siku nitam-miliki.
wote nawaona wale walePole Sana, mkuu.
Nenda moja Kwa moja kwenye ukurasa wa kutafuta marafiki sijui wachumba mara mke utapata chombo kipya
thnksPole kiongoz
wote nawaona wale wale
asantePole Sana mkuu
Mapenzi ni hisia mwenza.Mwenza kwahiyo unataka ummiliki mwanamke mwenzio!!!
Si mimi nikitangulia nitarubuniwaHee yani mie nikutangulie nikuache ukiwa unafanya nini huku nyuma?
Haha haha ndio shida ya Humuu!Mapenzi ni hisia mwenza.
Ila unaweza kuta ni kidume chenye Id ya kike afu.
Mmh we unalako jamboSi mimi nikitangulia nitarubuniwa