Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji134] [emoji134] masikini shangazi nitammiss jamanKapigwa ganzi ya mwezi. Tutamsahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji134] [emoji134] masikini shangazi nitammiss jamanKapigwa ganzi ya mwezi. Tutamsahau
nimeona dadaHawezi mtaja hapa
Umisiji wake kasema uniachie mimi nitamhifadhia[emoji134] [emoji134] masikini shangazi nitammiss jaman
Hahahahahaha nimetoka kwenye uzi wa shangazi nimecheka jamaan bonny na raimundo ila paw kawasamehe tu walitakiwa wale ban kila kitu kipo banned unaona tu watu wamekuquote kufungua huwezi watu wanakulike huwezi fanya chochote
Wamemuonea jamani... Mwezi mzima kweeli[emoji134] [emoji134] masikini shangazi nitammiss jaman
Haya bwananimeona dada
[emoji23] [emoji23] [emoji23] bamdogo nakugawa bureeUmisiji wake kasema uniachie mimi nitamhifadhia
[emoji23] [emoji23] wanatia huruma nimecheka sanaHahaha
Mwenyewe nilikuwa nacheka tuu jinsi walivyokuwa wanachat pale
mwezi mwingi sana na heaven sent nae kapewa kwani nilimuona kwenye huu uzi mchanaWamemuonea jamani... Mwezi mzima kweeli
Yaani hawa watu ni changamoto[emoji23] [emoji23] wanatia huruma nimecheka sana
Wamepewa wale alowataja mleta uzimwezi mwingi sana na heaven sent nae kapewa kwani nilimuona kwenye huu uzi mchana
[emoji23] [emoji23] bonny jaman eti mods hawachelewi wala hawawaiYaani hawa watu ni changamoto
aiseeWamepewa wale alowataja mleta uzi
Hahaha[emoji23] [emoji23] bonny jaman eti mods hawachelewi wala hawawai
[emoji23] [emoji23] bonny jaman eti mods hawachelewi wala hawawai
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unakumbuka ile ban ya love connectUnantafutia ban wewe nakuona kabisa
hahaha nimetoka kwenye uzi wa shangazi nimecheka jamaan bonny na raimundo ila paw kawasamehe tu walitakiwa wale ban kila kitu kipo banned unaona tu watu wamekuquote kufungua huwezi watu wanakulike huwezi fanya chochote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mlikua mnatia hurumaHv shunie una nn wameshasahau sie tilikuaa tunatoa faraja pale kwa mfungwa mtarajiwa ndio upendo wenyewe huo
Hii kitu ya huko.... wew tukutane njia panda ya himo maana ni wa kule juu