WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We tulichat tu akashinda njaa kwa hasira, tukimtag si ndio tutamkuta kataga kabisa!!!
Akitaga tunalikaanga kabisa na kulila.
Au kamba mguuni nini....hajui tofauti ya tui na maziwa?
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
Ulikuwa uzi wa Allepo sasa alilalamika kama mtoa mada wa leo cha ajabu watu wa mwanzoni wakataja Daby ndiyo tabia zake.

Sasa kina Inna, shunie, vale husna, sumbai stun wakaendeleza. Wote wakapigwa ban. Siku hiyo iliitwa siku ya ban
Ha ha ha ha haaaa
 
Nimekuja madame wangu niambie..

Twende tukalale
Screenshot_2017-06-18-00-06-27-1.png

Natangulia na shuka kitandani Mondray
 
Back
Top Bottom