Hivi walifanya nini siku ile?Kuna siku walikula ban karibia wote hadi Saint Ivuga siku hizi kawa mpole .
Nala biriani la kuk.Acha tulisubiri nikusaidie kulila.
Ila nisije nikawa nakesha kusubiri ugali maharage.
Kwakweli kuna umuhimu wa kufungua id ya ziada aisee!! Leo ndio nimeliona hilo.Mimi nina I'd yangu ya Jinja malon tena picha ile ile.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Liugali maharage? Unahitaji ban tena wewe.
Akitaga tunalikaanga kabisa na kulila.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We tulichat tu akashinda njaa kwa hasira, tukimtag si ndio tutamkuta kataga kabisa!!!
Watatutolea vifungu vya sheria za Jf.Bora wakiwa na swaumu wanakuwa wapole.
Ha ha ha ha haaaa[emoji16][emoji16][emoji16]
Ulikuwa uzi wa Allepo sasa alilalamika kama mtoa mada wa leo cha ajabu watu wa mwanzoni wakataja Daby ndiyo tabia zake.
Sasa kina Inna, shunie, vale husna, sumbai stun wakaendeleza. Wote wakapigwa ban. Siku hiyo iliitwa siku ya ban
Niliona Leo ukakomaa,hauombi msamaha Maana utarudi tu.Hata mie ile siku nilijisemea hii ahadi kama za CCM ahadi hewa, ndio maana mimi leo niligoma kuahidi ahadi hewa.
Wa wap tena jmn??[emoji16][emoji16][emoji16]
Njoo tuangalie Haunted Saturdays hapa IDx. AzamMlaliane sasa muda mbaya huu
Hadi leo huniamin tuu jmn[emoji28][emoji28][emoji28]aaaarrgh[emoji125][emoji125][emoji125]Yule mchaga...leo humjui sio?!
Asante! Penda sana wewe piaPaprika nakupendaga pia cjui ni jinaa au nini lkn naku[emoji7]
Hadi leo huniamin tuu jmn[emoji28][emoji28][emoji28]aaaarrgh[emoji125][emoji125][emoji125]
Tusepe zetuNishafika mamy
Popote tu....hata Didis MasakiTwende wap mamaa nataka.....
Hili nililijuaHakuna ninayempenda humu
Wala iko onNi pm naona unapenda vitu navyovipenda..
pm me please yako sijui imefungwa
[emoji3][emoji3][emoji3]ngoja nkaoge nilale[emoji125][emoji125][emoji125]Najiamini mwnyw tu
[emoji3][emoji3][emoji3]ngoja nkaoge nilale[emoji125][emoji125][emoji125]