WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We tulichat tu akashinda njaa kwa hasira, tukimtag si ndio tutamkuta kataga kabisa!!!
Akitaga tunalikaanga kabisa na kulila.
Au kamba mguuni nini....hajui tofauti ya tui na maziwa?
 
Ha ha ha ha haaaa
 
Hata mie ile siku nilijisemea hii ahadi kama za CCM ahadi hewa, ndio maana mimi leo niligoma kuahidi ahadi hewa.
Niliona Leo ukakomaa,hauombi msamaha Maana utarudi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…