WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

Nakujuaga jirani yangu ukikataa ndio unataka hivyo, so usijali nishakuelewa.
Hapana kwa hili nmeaanisha dunia yangu ya mbwembwe hii hii ya kina max kule kwengne hapana
 
Hah ha ha ha ha shemeji yake espy kaamua kutoa ya moyon sasa kumbe jiran yangu huwa anapiga sana kelel mie huwa sisikii maana namie nakuwa busy na kelele zangu za maombi
Jirani jamani!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…