WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

Mimi binafsi nawapenda sana wadada wote humu ila ningependa wawe na tabia yakunisalimia PM japo kwa kila week mara 4 nawapenda sana
 
For sure nahitaji msaada, aongezee wengine wawili nami nipumue.
Hahaha.....hii kauli yako imenikumbusha miaka ya nyuma.
Mbaba wa watu anahitaji kuniongeza mke wa pili, kisa mkewe hamridhishi kitandani.
Nikasema nitajuaje anachokikimbia mke wa kwanza.
 
Umeamshwaje wapendanao.... Sio kwa kudamka huko jamani... Madame B, espy, Bonny, Nalendwa, Mondray, Heaven Sent, Shunie, Emmyta, Daby na nk naona mnapendana tuu...

Wacha watu wanune
 
Umeamshwaje wapendanao.... Sio kwa kudamka huko jamani... Madame B, espy, Bonny, Nalendwa, Mondray, Heaven Sent, Shunie, Emmyta, Daby na nk naona mnapendana tuu...

Wacha watu wanune

Nmeshaamk mdada nilikua namuangalia madame b akiwa anafanya mazoez hii asubh
 
Back
Top Bottom