WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

Halafu shemeji hapa jirani yangu kuna mtu anahama, naweza kukuulizia, nyumba iko peke yake na kuna geti kabisa, maji na umeme ni bure.

Hapo jirani na Bonny kwani unalipa sh ngapi? Maana hapa unaweza hata kupunguziwa nusu nzima, tiles mpaka nje zimetapakaa.
Shemeji hata usiulize, hebu fanya mpango haraka nihamie hapo.
 
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nini kaka
 
Ha ha ha mzee unataka kunihamishia jiran yangu kwelii upendo wa wapi huo?

Mkuu unajua shemeji analalamika sana eti majirani wanampiga chabo, sasa namtafutia nyumba yenye uzio na sound proof ili aache kupigia watu kelele kwenye mambo yetu yale.
 
Mkuu unajua shemeji analalamika sana eti majirani wanampiga chabo, sasa namtafutia nyumba yenye uzio na sound proof ili aache kupigia watu kelele kwenye mambo yetu yale.
Hah ha ha ha ha shemeji yake espy kaamua kutoa ya moyon sasa kumbe jiran yangu huwa anapiga sana kelel mie huwa sisikii maana namie nakuwa busy na kelele zangu za maombi
 
Back
Top Bottom