Wanajmvi,Ualimu special needs ni nini

Morning glory

Senior Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
149
Reaction score
55
Hi wadau,
Natamani kujiunga na special course ya ualimu wa disabled people ambayo ni special needs.Sasa Vipi kuhusu vigezo kwa wale walimu wazoefu na ajira zake Vipi pia,

Tubonge live
 
Unganisha heading na content ya thread.

Nenda kasome kama unahitaji.
 
Hi wadau,
Natamani kujiunga na special course ya ualimu wa disabled people ambayo ni special needs.Sasa Vipi kuhusu vigezo kwa wale walimu wazoefu na ajira zake Vipi pia,

Tubonge live

Nadhani kwa hapa Tanzania chuo cha special needs education ni patandi.
 
Mi nipo Udom nasoma hyo course,vp unahitaji kujiunga kwa level ipi?
 
Mi nipo Udom nasoma hyo course,vp unahitaji kujiunga kwa level ipi?

Level ya degree au diploma au Cheti hebu naomba nipe qualifications za kuingilia then nione ipi naweza kuanzia friend
 
Kama ni level ya degree kuna chuo kikuu cha sekomu kinatoa elim hyo na vigezo two princple passes na ajira ni kwenye shule zenye wanafunzi mahalum kama, vipofu,viziw na bubu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…