Asante mkuu humu ni fake jinsia yangu inamuhusu nini????Kwanza ID nyingi ni fake, inakusaidia nini ukijua jinsia ya mtu usiyemjua anaetumia ID ya uongo? Hapo sijaongelea wanawake wanaojinasibu kama wanaume au wanaume ambao wamejipambanua kama wanawake.
But what I mean is that sometimes it may turn into offensive replies that a normal human can not bear at all
There are also some kinds of embarrassment to yourself
Asante mkuu humu ni fake jinsia yangu inamuhusu nini????
Akitaka kujuana aende mitandao mingine lkn humu atachemka tuHuyu jamaa anafananisha JF na mitandao mingine. Hajui wakurugenzi wameshapelekwa mahakamani na kesi inaendelea kuhusu haya mambo ya ID. Ukiongezea na Nissan nyeupe ndio kabisaa nani ajulikane?
Hiv kumbe ww ni Ke?!Kuna siku Mimi nilimwita mtu mummy kumbe ni me (mwanaume)!!!!!
Akitaka kujuana aende mitandao mingine lkn humu atachemka tu
Wa hivo ni bahili hata sijisumbui kujaza fomu ya mkopoHebu muombe mkopo kwanza kabla hajakaa sawa.
Wa hivo ni bahili hata sijisumbui kujaza fomu ya mkopo
Wala siogopiHahahaaa au unaogopa kumalizana?
Wala siogopi
Yeye mwenyewe hajatuambia jinsia yake halafu anataka azijue za kwetuHuyu hata ukimalizana nae, atakuja tena kuanika hspahapa jamvini...
Yeye mwenyewe hajatuambia jinsia yake halafu anataka azijue za kwetu
Hapo chachaNdio hapo nashangaa, hajiulizi mbona hakuna anaehangaika na ID au Avatar yake? Itakuja kuwa jinsia? Yanini kwanza?
Naomba hiki kikao kife humu ndanYeye mwenyewe hajatuambia jinsia yake halafu anataka azijue za kwetu