Nawashauri watu wa Kagera mpokee changamoto kutoka kwa mkuu wa mkoa wenu. Kwanza Chalamila hajawataja Wahaya, yeye anazungumzia watu wa Kagera. Sasa huko Kagera kuna Wanyambo, Wahaya, Wakerewe, etc. Kwanini nyie Wahaya mnafikiri kwamba watu wa Kagera ni nyie tu??
Si mnaona mnavyokosea eeh?! Sasa mtu akiwaita watu wa majungu mnachukia nini? Au mtu alisema kwamba nyie kila mtu anajifanya mwanasheria kuna wongo hapo? Chalamila anasema mnajitia wajuaji, amekosea wapi, kuna mtu asiyejua hilo?
Na zaidi ya yote mnasema Kagera ndio imetoa wasomi wengi tena maprofesa, sasa nyie mbona wakati huo huo ndio mkoa wa mwisho mwisho kiuchumi? Mnasema ardhi yenu nzuri rutuba nyingi na ziwa kubwa, mbona nyie ndio maskini wakubwa? Kuna mikoa ipo pembezoni mwa nchi haina ardhi wala wasomi lakini ipo vizuri kiuchumi, mnashindwa wapi Wanakagera? Ni uvivu, majungu au ni nini? Sasa mtu akisema Wanakagera ni majungu tu na kujifanya wajuaji anakosea wapi?
Mimi naongezea hapo kwa mkuu wenu wa mkoa; nasema acheni kiburi na majivuno kwani inachekesha kuona mtu maskini anakuwa na kibri na majivuno! Fanyeni kazi kwa bidii, acheni majungu na fitina. Pia Nendeni Kilimanjaro mkajifunze kazi na unyenyekevu!
Si mnaona mnavyokosea eeh?! Sasa mtu akiwaita watu wa majungu mnachukia nini? Au mtu alisema kwamba nyie kila mtu anajifanya mwanasheria kuna wongo hapo? Chalamila anasema mnajitia wajuaji, amekosea wapi, kuna mtu asiyejua hilo?
Na zaidi ya yote mnasema Kagera ndio imetoa wasomi wengi tena maprofesa, sasa nyie mbona wakati huo huo ndio mkoa wa mwisho mwisho kiuchumi? Mnasema ardhi yenu nzuri rutuba nyingi na ziwa kubwa, mbona nyie ndio maskini wakubwa? Kuna mikoa ipo pembezoni mwa nchi haina ardhi wala wasomi lakini ipo vizuri kiuchumi, mnashindwa wapi Wanakagera? Ni uvivu, majungu au ni nini? Sasa mtu akisema Wanakagera ni majungu tu na kujifanya wajuaji anakosea wapi?
Mimi naongezea hapo kwa mkuu wenu wa mkoa; nasema acheni kiburi na majivuno kwani inachekesha kuona mtu maskini anakuwa na kibri na majivuno! Fanyeni kazi kwa bidii, acheni majungu na fitina. Pia Nendeni Kilimanjaro mkajifunze kazi na unyenyekevu!