masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Ha ha ha!Mkuu kuna mijitu mingi Mbeya imesoma lakini hawajaelimika.
Wawsige maprofesa wa Singida wanaojua kucharanga karata zao kwa ajili ya wananchi wao.
Mkuu kuna mijitu mingi Mbeya imesoma lakini hawajaelimika.
Wawsige maprofesa wa Singida wanaojua kucharanga karata zao kwa ajili ya wananchi wao.
Ulichoandika ni mawaxo yako finyu.Wenyewe bado wako kwenye zama zile za mawe za kudhani kila kizuri kinatoka Mbeya/Kagera/Bukoba. Wako sawa na watu wa ulimwengu wa magharibi ambao mpaka sasa hudhani kila kizuri kinatoka UK, US. Hawajui siku hizi hata China ambaye walikuwa wanam'beza anatoa vitu amazing. Amefika mbali sana kiakili mpaka sasa wanabaki wanahangaika.
Ulichoandika ni mawaxo yako finyu.
Hujui hapa Rick City mawe mawe, tuzahabu na viji almasi vimetuinua juu kuliko ulikotaja.
Endelea na mawazo mfu.
Hamna jiji chafu kama Mbeya na tuna mbunge mwanamkeHafanyi Chochote Mbeya,,no Umeme,, barabara za iwambi Zote chafu Mnoo,,zimebaki ahadi tuu
Yuko busy na vikundi vya ngoma.Nenda Mbeya uone walivyo nyuma kimaendeleo.
Anahitajika mtu mwenye upeo wa kimaendeleo, siyo mtu wa dole la kati na mwisho wake wa maendeleo ni kujenga gesti.
Angalau kipindi cha sugu tuliona kitu.Nimewahi ishi mbeya, lkn bado sijaridhika na kiwango chao cha maendeleo. Maana pale mjini kuna nyumba za madongo na bati madebe nyingi tu.
Na ujinga wao ni kwamba wanampiga madongo mtu ambaye wakimpa agenda anaweza kuwafanikishia. Wanamkimbilia sugu anayejisifu ana ghorofa.
Ameshindwa kutetea wananchi wa SAE mpya wasibomolewa nyumba ambazo tayari ni hela kwa jiji,Dr. Tulia = Maendeleo hasi!
AmenKwani hiyo IPU haijawahi kuwa na Kiongozi?
Watanzania mna ujinga sana
Binafsi nampongeza dogo aliyesoma Mivumoni Sec School pale Kinondoni Mtambani anayetuwakilisha vena huko Marekani kisayansi! 😃