masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Ha ha ha!Mkuu kuna mijitu mingi Mbeya imesoma lakini hawajaelimika.
Wawsige maprofesa wa Singida wanaojua kucharanga karata zao kwa ajili ya wananchi wao.
Huyo Mwa-buku-si, sasa hivi atakuwa Mwa-jero-si!