Hivi nyie walokole nani kawaroga? Nikuulize ukiitoa Israel watu wengine wameumbwa na Mungu wa uongo?Ndo maana Mungu wa kweli ni Mungu wa Israel. Ni taifa linalolindwa na Mungu wa kweli. Kama Allah angekuwa wa Kweli leo kusingekuwa na Wayahudi na Israel.
Watu wanataka wauliwe ili wakafanye mapenzi peponi 😏..... respect their faith bro😄😄😄😄Kaswende ya ubongo inawasumbuwa, innocent people wanauwawa kwa mañufaa ya wahuni wachache ambao wanakula bata Doha Qatar.
Kwani wale mgambo wa Hamas wako kambi gani ili wauliwe wao bila wanawake na watoto?Hivi nyie walokole nani kawaroga? Nikuulize ukiitoa Israel watu wengine wameumbwa na Mungu wa uongo?
Usiwe punguani kiasi hicho mungu wa kweli ndiyo karuhusu huu unyama?
View: https://x.com/jacksonhinklle/status/1787736553856323805?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Akitaja walipo unitag.Kwani wale mgambo wa Hamas wako kambi gani ili wauliwe wao bila wanawake na watoto?
Hahaha riiiiiitzzzzzzHivi nyie walokole nani kawaroga? Nikuulize ukiitoa Israel watu wengine wameumbwa na Mungu wa uongo?
Usiwe punguani kiasi hicho mungu wa kweli ndiyo karuhusu huu unyama?
View: https://x.com/jacksonhinklle/status/1787736553856323805?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wakati Hamas wanafanya haya hawakujua nini kitatokea?Hahaha riiiiiitzzzzzz
Mungu wa kweli ni yule anayemlisha yeye na sisi sote.Mungu wa kweli sio huyo uliyefundishwa na wazungu.. kwahiyo sisi Tanzania na Uganda ni mataifa ya shetani
Na Mmarekani .angezifutilia mbali.Kiufupi zingekuwa ni lundo la mashimo na magofu.Unafikiri waarabu hawapendi hayo?Waambie wajidanganye!Umeteleza kidogo Hapa... Nchi za kiarabu zingekuwa na umoja huo, Leo Israel asingefanya anachoendelea kufanya kuanzia 1968.
Mbona tarehe 07/10/2023 mlipofanya ule unyama mlikuwa mkishangilia na kumuita allah kuwa ni mkubwa?Sasa mbona aalah kama ni mungu wa kweli na mkubwa hawasaidii wapalestina?Hivi nyie walokole nani kawaroga? Nikuulize ukiitoa Israel watu wengine wameumbwa na Mungu wa uongo?
Usiwe punguani kiasi hicho mungu wa kweli ndiyo karuhusu huu unyama?
View: https://x.com/jacksonhinklle/status/1787736553856323805?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Mbona huyo marekani alikimbia Vietnam, Mbona huyo marekani alikimbia Cuba, mbona huyo marekani alikimbia Somalia Mbona huyo marekani aliwashindwa Taliban na kufunga virago.Na Mmarekani .angezifutilia mbali.Kiufupi zingekuwa ni lundo la mashimo na magofu.Unafikiri waarabu hawapendi hayo?Waambie wajidanganye!