Sasa Nigeria nakutawaliwa kote na wanajeshi ..ilikuaje wakaruhusu haya makundi ya kigaidi yakastawi?Vuguvugu la Igbo haliuwi au kuteka wanafunzi kwa Ransom, Nigeria kaskazini asilimia 90+ ni waislamu na wengi Wana elimu ya dini na hawataki kusoma elimu ya magharibi, watu Kama ni rahisi kuwa recruit na wanamgambo
Kusini mjimbo mengi ni wakristo Ila hakuna masumbulio ya ugaidi Kama kaskazini, Ila ujambazi ni mkubwa na watu kutekwa kwa Ransom in short Nigeria is a failed state
Hawa wanapigana guerrillar war fare,hawa sio conventional army unit,huwezi kwenda kupigana nao kama unaenda kupigana na jeshi la nchi jirani,hawa hawafati sheria za kimataifa,rule of engagement,Wanamgambo wenye msimamo mkali wameuwa wanajeshi 30 wa serekali katika mfululizo wa mapigano kaskazini mashariki mwa Nigeria toka Jumatano, kwa mujibu vyanzo vya kijeshi na raia.
Shirika la habari la Reuters linaeleza kwamba usalama kote Nigeria, umezorota katika miezi ya hivi karibuni ikijumuisha kaskazini mashariki.
Mashambulizi manne yamesababisha vifo vya wanajeshi 27, na wanamgambo wa kikosi cha raia 10, ikijumuisha mkuu wa kikosi, kwa mujibu wa chanzo cha Reuters.
Jeshi na msemaji wa wizara ya ulinzi hawakuwa tayari kujibu simu na ujumbe uliopelekwa ili kutoa ufafanuzi wa habari za mashambulizi hayo.
Kundi la Islamic State West Province (ISWAP), ambalo lina ushirikiano na kundi la Islamic State, limedai kuhusika na mashambulizi ya Ijumaa ya Monguno, kupitia shirika la habari la Amaq siku ya Jumamosi.
ISWAP limedai kuua wanajeshi 33 na kumkamata mmoja.
View attachment 1726071
Kabla ya kuusoma na kuufuata, ninauona: ISIS, Boko Haram, Taleban, etcHuelewi na hutaelewa usipo usoma na kuufata uislamu.
Hawa ni kwenda nao rough war! Yaani full intelligence, then ukikuta wako watano unamwaga bongo zao zote chini, una-move ahead. Ukikuta wako 50, unaomba back up, mnakuja rocket na launchers, unawalipua. Wakiingia msikitini unawafuata unawachinjia humo humo, no mercy!Hawa wanapigana guerrillar war fare,hawa sio conventional army unit,huwezi kwenda kupigana nao kama unaenda kupigana na jeshi la nchi jirani,hawa hawafati sheria za kimataifa,rule of engagement,
Vita ya msituni au ya kuvizia,inabidi ufikirie kama wao,
Sasa unatuma jeshi,limevaa kombat/uniform,kwenda kupambana na magaidi,mtadunguliwa mpaka muishe,hapa inahitajika intelligence,na covert operations za special forces,ni shoot first ask questions later
Kabla ya kuusoma na kuufuata, ninauona: ISIS, Boko Haram, Taleban, etc
Dunia haiko fair hasa afrika na uarabuni. Makundi ya Raia wema wanaotafuta haki zao wanaitwa majina mabaya Magaidi, wanamgambo, wasaliti, wahaini ili kuwachafua na serikali za kijaahili.Wanamgambo wenye msimamo mkali wameuwa wanajeshi 30 wa serekali katika mfululizo wa mapigano kaskazini mashariki mwa Nigeria toka Jumatano, kwa mujibu vyanzo vya kijeshi na raia.
Shirika la habari la Reuters linaeleza kwamba usalama kote Nigeria, umezorota katika miezi ya hivi karibuni ikijumuisha kaskazini mashariki.
Mashambulizi manne yamesababisha vifo vya wanajeshi 27, na wanamgambo wa kikosi cha raia 10, ikijumuisha mkuu wa kikosi, kwa mujibu wa chanzo cha Reuters.
Jeshi na msemaji wa wizara ya ulinzi hawakuwa tayari kujibu simu na ujumbe uliopelekwa ili kutoa ufafanuzi wa habari za mashambulizi hayo.
Kundi la Islamic State West Province (ISWAP), ambalo lina ushirikiano na kundi la Islamic State, limedai kuhusika na mashambulizi ya Ijumaa ya Monguno, kupitia shirika la habari la Amaq siku ya Jumamosi.
ISWAP limedai kuua wanajeshi 33 na kumkamata mmoja.
View attachment 1726071
Tamil tigers walipukutishwa kwa style hiyo ingawa raia wengi sana wasio na hatia walikufa na hadi leo bado kwenye ile mikoa waliokuwapo haijarudi kama zamani. Jumuia ya kimataifa pia itakupigia sana keleleHawa ni kwenda nao rough war! Yaani full intelligence, then ukikuta wako watano unamwaga bongo zao zote chini, una-move ahead. Ukikuta wako 50, unaomba back up, mnakuja rocket na launchers, unawalipua. Wakiingia msikitini unawafuata unawachinjia humo humo, no mercy!
Masuala ya uniform unatupa pembeni unaenda nao sale sale, kikubwa sign language tu! Dawa ya mshenzi ni ushenzi!!
Afu Raisi wao anashauri eti Tanzania iongozwe kwenye muelekeo mzuri! Hovyo kabisaWanamgambo wenye msimamo mkali wameuwa wanajeshi 30 wa serekali katika mfululizo wa mapigano kaskazini mashariki mwa Nigeria toka Jumatano, kwa mujibu vyanzo vya kijeshi na raia.
Shirika la habari la Reuters linaeleza kwamba usalama kote Nigeria, umezorota katika miezi ya hivi karibuni ikijumuisha kaskazini mashariki.
Mashambulizi manne yamesababisha vifo vya wanajeshi 27, na wanamgambo wa kikosi cha raia 10, ikijumuisha mkuu wa kikosi, kwa mujibu wa chanzo cha Reuters.
Jeshi na msemaji wa wizara ya ulinzi hawakuwa tayari kujibu simu na ujumbe uliopelekwa ili kutoa ufafanuzi wa habari za mashambulizi hayo.
Kundi la Islamic State West Province (ISWAP), ambalo lina ushirikiano na kundi la Islamic State, limedai kuhusika na mashambulizi ya Ijumaa ya Monguno, kupitia shirika la habari la Amaq siku ya Jumamosi.
ISWAP limedai kuua wanajeshi 33 na kumkamata mmoja.
View attachment 1726071