Wanamgambo waua wanajeshi 30 Nigeria

Wanamgambo waua wanajeshi 30 Nigeria

Vuguvugu la Igbo haliuwi au kuteka wanafunzi kwa Ransom, Nigeria kaskazini asilimia 90+ ni waislamu na wengi Wana elimu ya dini na hawataki kusoma elimu ya magharibi, watu Kama ni rahisi kuwa recruit na wanamgambo

Kusini mjimbo mengi ni wakristo Ila hakuna masumbulio ya ugaidi Kama kaskazini, Ila ujambazi ni mkubwa na watu kutekwa kwa Ransom in short Nigeria is a failed state
Sasa Nigeria nakutawaliwa kote na wanajeshi ..ilikuaje wakaruhusu haya makundi ya kigaidi yakastawi?
 
Wanamgambo wenye msimamo mkali wameuwa wanajeshi 30 wa serekali katika mfululizo wa mapigano kaskazini mashariki mwa Nigeria toka Jumatano, kwa mujibu vyanzo vya kijeshi na raia.

Shirika la habari la Reuters linaeleza kwamba usalama kote Nigeria, umezorota katika miezi ya hivi karibuni ikijumuisha kaskazini mashariki.

Mashambulizi manne yamesababisha vifo vya wanajeshi 27, na wanamgambo wa kikosi cha raia 10, ikijumuisha mkuu wa kikosi, kwa mujibu wa chanzo cha Reuters.

Jeshi na msemaji wa wizara ya ulinzi hawakuwa tayari kujibu simu na ujumbe uliopelekwa ili kutoa ufafanuzi wa habari za mashambulizi hayo.

Kundi la Islamic State West Province (ISWAP), ambalo lina ushirikiano na kundi la Islamic State, limedai kuhusika na mashambulizi ya Ijumaa ya Monguno, kupitia shirika la habari la Amaq siku ya Jumamosi.

ISWAP limedai kuua wanajeshi 33 na kumkamata mmoja.

View attachment 1726071
Hawa wanapigana guerrillar war fare,hawa sio conventional army unit,huwezi kwenda kupigana nao kama unaenda kupigana na jeshi la nchi jirani,hawa hawafati sheria za kimataifa,rule of engagement,
Vita ya msituni au ya kuvizia,inabidi ufikirie kama wao,
Sasa unatuma jeshi,limevaa kombat/uniform,kwenda kupambana na magaidi,mtadunguliwa mpaka muishe,hapa inahitajika intelligence,na covert operations za special forces,ni shoot first ask questions later
 
Kwa Jeshi Nigeria ni hovyo kabisa hakuna kitu, wanafikia hatua hadi kuvamiwa ktk kambi zao na kupigwa vilivyo hadi kukimbia!
 
Hawa wanapigana guerrillar war fare,hawa sio conventional army unit,huwezi kwenda kupigana nao kama unaenda kupigana na jeshi la nchi jirani,hawa hawafati sheria za kimataifa,rule of engagement,
Vita ya msituni au ya kuvizia,inabidi ufikirie kama wao,
Sasa unatuma jeshi,limevaa kombat/uniform,kwenda kupambana na magaidi,mtadunguliwa mpaka muishe,hapa inahitajika intelligence,na covert operations za special forces,ni shoot first ask questions later
Hawa ni kwenda nao rough war! Yaani full intelligence, then ukikuta wako watano unamwaga bongo zao zote chini, una-move ahead. Ukikuta wako 50, unaomba back up, mnakuja rocket na launchers, unawalipua. Wakiingia msikitini unawafuata unawachinjia humo humo, no mercy!

Masuala ya uniform unatupa pembeni unaenda nao sale sale, kikubwa sign language tu! Dawa ya mshenzi ni ushenzi!!
 
Nimevuta picha ingekuwa bongo mpaka saivi tungekuwa tumepoteza karibu bat kadhaa.[emoji1]
 
Wanamgambo wenye msimamo mkali wameuwa wanajeshi 30 wa serekali katika mfululizo wa mapigano kaskazini mashariki mwa Nigeria toka Jumatano, kwa mujibu vyanzo vya kijeshi na raia.

Shirika la habari la Reuters linaeleza kwamba usalama kote Nigeria, umezorota katika miezi ya hivi karibuni ikijumuisha kaskazini mashariki.

Mashambulizi manne yamesababisha vifo vya wanajeshi 27, na wanamgambo wa kikosi cha raia 10, ikijumuisha mkuu wa kikosi, kwa mujibu wa chanzo cha Reuters.

Jeshi na msemaji wa wizara ya ulinzi hawakuwa tayari kujibu simu na ujumbe uliopelekwa ili kutoa ufafanuzi wa habari za mashambulizi hayo.

Kundi la Islamic State West Province (ISWAP), ambalo lina ushirikiano na kundi la Islamic State, limedai kuhusika na mashambulizi ya Ijumaa ya Monguno, kupitia shirika la habari la Amaq siku ya Jumamosi.

ISWAP limedai kuua wanajeshi 33 na kumkamata mmoja.

View attachment 1726071
Dunia haiko fair hasa afrika na uarabuni. Makundi ya Raia wema wanaotafuta haki zao wanaitwa majina mabaya Magaidi, wanamgambo, wasaliti, wahaini ili kuwachafua na serikali za kijaahili.

Mifumo ya kitawala hasa afrika na uarabuni ni ha kiuonezi na watu wakishaamua nyote mnakosa amani. Mfano Somalia, Yemeni, Jamhuri ya kati, Sudani, na sasa Ethiopia. Muhimu watawala simamieni haki. Mbona ulaya na marekani haya mambo hayapo?
 
Hawa ni kwenda nao rough war! Yaani full intelligence, then ukikuta wako watano unamwaga bongo zao zote chini, una-move ahead. Ukikuta wako 50, unaomba back up, mnakuja rocket na launchers, unawalipua. Wakiingia msikitini unawafuata unawachinjia humo humo, no mercy!

Masuala ya uniform unatupa pembeni unaenda nao sale sale, kikubwa sign language tu! Dawa ya mshenzi ni ushenzi!!
Tamil tigers walipukutishwa kwa style hiyo ingawa raia wengi sana wasio na hatia walikufa na hadi leo bado kwenye ile mikoa waliokuwapo haijarudi kama zamani. Jumuia ya kimataifa pia itakupigia sana kelele
 
Wanamgambo wenye msimamo mkali wameuwa wanajeshi 30 wa serekali katika mfululizo wa mapigano kaskazini mashariki mwa Nigeria toka Jumatano, kwa mujibu vyanzo vya kijeshi na raia.

Shirika la habari la Reuters linaeleza kwamba usalama kote Nigeria, umezorota katika miezi ya hivi karibuni ikijumuisha kaskazini mashariki.

Mashambulizi manne yamesababisha vifo vya wanajeshi 27, na wanamgambo wa kikosi cha raia 10, ikijumuisha mkuu wa kikosi, kwa mujibu wa chanzo cha Reuters.

Jeshi na msemaji wa wizara ya ulinzi hawakuwa tayari kujibu simu na ujumbe uliopelekwa ili kutoa ufafanuzi wa habari za mashambulizi hayo.

Kundi la Islamic State West Province (ISWAP), ambalo lina ushirikiano na kundi la Islamic State, limedai kuhusika na mashambulizi ya Ijumaa ya Monguno, kupitia shirika la habari la Amaq siku ya Jumamosi.

ISWAP limedai kuua wanajeshi 33 na kumkamata mmoja.

View attachment 1726071
Afu Raisi wao anashauri eti Tanzania iongozwe kwenye muelekeo mzuri! Hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom