Wanamichezo (footballers) msaada wenu tafadhali

Wanamichezo (footballers) msaada wenu tafadhali

Beauty Eva

Senior Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
131
Reaction score
374
Wapenzi wangu wanamichezo.

Naombeni mnisaidie, maana kila siku nimekuwa nikijiuliza maswali haya matatu na majibu sipati. Maswali ni haya yafuatayo:-

* Ni kwa nini unapopigwa mpira wa adhabu (faulo au penati), wachezaji wa timu mpira unapoelekea hushika sehemu zao za siri?

* Je, kiongozi wa wachezaji (team captain) huwa anapata mshahara mkubwa/posho kubwa kuliko wachezaji wengine?

* Je, asilimia ya ball possession huwa inakokotolewa vipi? Mfano, unaona ktk mechi fulani.. Timu X inapata 56% na timu Y inapata 44%.
 
Nahisi kuna uhusiano kati ya ile goli inayopigwa ndani bila kipa kuwepo.Yani ukikamatia chini mzigo haiingii ati.
 
kwa ss wanaume ukipigwa ile sehem na mpira lazima ukae chini kwa dk kadhaa au kutolewa nje ya uwanja kwa mda flani kwa sababu ya maumivu makali utakayopata.....hali ambayo inaweza kuchangia kuigharimu timu yako kwa kutokwepo uwanjani kwa izoo dk chache kwa uzembe wako wa kushindwa kuchukua tahadhari mapema kwasababu refferee hana mda wa kukusubiria adi maumivu yaishe ndo aendelee na mpira....
 
Sehemu nyeti ni kuzuia tu just in case mpira ukikugonga hapo

Captan hapewi mshahara mkubwa wa kuwa captain
mshahara unategemea mkataba wake

ball possession naamini ni compurter inatumika kuona wachezaji wa timu gani walikuwa nao kwa mda mrefu
 
Back
Top Bottom