NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #21
Tusichanganye siasa na mpira [emoji3578]Tuache kubeba mabango ya Wana siasa kwenye michezo. Pia Viongozi wa kisiasa wahudhurie TU kama mashabiki bila ku-influence mambo ya mipira. Yule jamaa kila akiwepo lazima tufungwe!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app