Wanamichezo na wadau wa mpira wa miguu njooni tujadili nini kifanyike ili timu yetu ya Taifa ipige hatua zaidi?

Wanamichezo na wadau wa mpira wa miguu njooni tujadili nini kifanyike ili timu yetu ya Taifa ipige hatua zaidi?

Nakumbuka maneno ya kocha mmoja wa Uganda sio huyu micho baada ya kuifunga timu ya Tanzania kwenye kuwania kuingia kombe la CHAN alihojiwa na mwandishi wa habari. Mwandishi wa habari alimuuliza unahisi ni mbinu Gani ulitumia kushinda mechi na Tanzania walifeli wapi. Yule kocha alimjibu, Tanzania wamewekeza zaidi kwenye hamasa kuliko kwenye mbinu za mpira.
Maneno mengi kuliko mbinu za mpira hii ni point kabisa [emoji3578]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Jambo la msingi ni kuandaa vijana ambao watakuwa msaada kwa taifa hta miaka ijayo Pia tunafeli kwa sababu nchi yetu haina hata academy Inayofadhiliwa na taifa kweli?? Changamoto kubwa sna usimba na yanga mwingi sana mwingi unaacha kibu Denis unaita Charles ruhende kwel HAHAHA UANATKA MATOKEO WEWE
 
Jambo la msingi ni kuandaa vijna ambao watakua msaada kwa taifa hta miaka ijayo Pia tunafeli kwa sababu nchi yetu haina hata academy Inayofadhiliw na taifa kwel?? Changamoto kubwa sna usimba na yanga mwingi sana mwingi unaacha kibu Denis unaita Charles ruhende kwel HAHAHA UANATKA MATOKEO WEWE
Eti Kapombe anaingia dakika za mwisho. Aibu yaooooo
 
Hizi ni dakika mbaya sana 90+1 wengine wanaita dakika za lala salama, na tumelala salama shikamoo Uganda, kuna mchawi (siku hizi wachawi sio wazee) mmoja leo asubuhi alikua anasema ataenda kuwanga tufungwe ili tuendelee na ligi za ndani maana nje hatupawezi kweli yametimia 90+1 Rogers Mato anaiandikia bao Uganda

Tanzania 0-1 Uganda
Kweli kabisa mkuu,

Unadhani Nini kifanyike ili timu yetu ipige hatua ??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Jambo la msingi ni kuandaa vijna ambao watakua msaada kwa taifa hta miaka ijayo Pia tunafeli kwa sababu nchi yetu haina hata academy Inayofadhiliw na taifa kwel?? Changamoto kubwa sna usimba na yanga mwingi sana mwingi unaacha kibu Denis unaita Charles ruhende kwel HAHAHA UANATKA MATOKEO WEWE
Bonge la point mkuu [emoji3578]

Nakazia hapo hapo zile milioni mia tano ziwekezwe kwa vijana katika sekta ya michezo tutapata vipaji vingi sana Kama akina Abdul sopu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unadhani Nini kifanyike ili timu yetu ipige hatua ??
Wacheze mpira wanasiasa wapunguze Siasa kwenye mpira, sawa hamasa sio mbaya Ila mpira ubaki mpira na siasa zibaki kua Siasa hivi vitu viwili visichanganywe sana pamoja havichelewi kuvurugana,
 
Karibuni wadau wa mpira huu siyo muda wakulaumu wachezezaji au makocha na benchi la ufundi, ni muda wetu sisi wadau, mashabiki wa mpira wetu wa miguu tujadili mbinu namna gani tunaweza kuipa uhai timu yetu ya taifa (taifa stars).

Karibu kwa maoni mdau.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
"Ili tupige hatua kwa timu ya taifa inatupasa hii timu ifungiwe na serikali kwa miaka mitano kwnza ijitathmini na kujipanga la sivyo itaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu huku pesa za walipa kodi hohehae zikitumika vibaya [emoji23][emoji23][emoji23]."
 
nchi yetu haina hata academy
Academy pesa na pesa zikatolewa na Serikali na Serikali ikitia pesa zinazofuata ni Siasa na mpira kuchanganywa pamoja, TFF waulizwe kuhusu suala la academy wana mpango gani maana hawa mabwana hawajawahi kuulizwa hili swali na kila likizungumzwa suala hili anaenyooshewa kidole ni Serikali Ila TFF hawajawahi kulizungumzia
 
"Ili tupige hatua kwa timu ya taifa inatupasa hii timu ifungiwe na serikali kwa miaka mitano kwnza ijitathmini na kujipanga la sivyo itaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu huku pesa za walipa kodi hohehae zikitumika vibaya [emoji23][emoji23][emoji23]."
Umeongea kwa uchungu sana mkuu japokuwa unacheka [emoji16]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Academy pesa na pesa zikatolewa na Serikali na Serikali ikitia pesa zinazofuata ni Siasa na mpira kuchanganywa pamoja, TFF waulizwe kuhusu suala la academy wana mpango gani maana hawa mabwana hawajawahi kuulizwa hili swali na kila likizungumzwa suala hili anaenyooshewa kidole ni Serikali Ila TFF hawajawahi kulizungumzia
Bonge la pointi [emoji123][emoji3578]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Academy pesa na pesa zikatolewa na Serikali na Serikali ikitia pesa zinazofuata ni Siasa na mpira kuchanganywa pamoja, TFF waulizwe kuhusu suala la academy wana mpango gani maana hawa mabwana hawajawahi kuulizwa hili swali na kila likizungumzwa suala hili anaenyooshewa kidole ni Serikali Ila TFF hawajawahi kulizungumzia
Nakazia hizo pesa wanazotoa Kama hamasa wakazimwage kwenye academy za mpira wa miguu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom