Wanamizengo tumekubali mziki wa dance kufa au maproducer ndio wanaouua wakina majani na pfank

Wanamizengo tumekubali mziki wa dance kufa au maproducer ndio wanaouua wakina majani na pfank

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
wana jf

kwa sasa naona bendi nyingi zimegukia mwendo wa bia kama kiingilio, sijui wanalipanaje lakini najiuliza hawa wakongman wamefanyiwa nini hawatungi nyimbo mpya au wanaangushwa na maproducer wa tzm tuje kwenye bendi zetu zilizikuwa zinaiga miziki ya kongo na kuigeuza kuwa ya kitzed m nao sijui wameshindwa kuiga au maproducer wakina alan nao wameshindwa gemu. ni jambo la kusikitisha bendi kutoka kupiga kwa elfu 10 makumbusho kupiga kwa elf 2000 au bia kwa bia,

Afadhali angalau skylight bendi imeanzia chini sasa nayo inanza kutoza kiingilio, kiingilio bure pale the governar lakini ikija tegeta whatsap ni ths 5000
Jamani bendi ilikuwa raha sana enzi za kimarumaru, twangwa pepeta sasa hii hali ya kusubili wasanii wa bongo fleva wajipange makundi kutupigia kelele sijui itaisha lini maana tulizoea kila jmosi na ijumaa burudani
 
wana jf

kwa sasa naona bendi nyingi zimegukia mwendo wa bia kama kiingilio, sijui wanalipanaje lakini najiuliza hawa wakongman wamefanyiwa nini hawatungi nyimbo mpya au wanaangushwa na maproducer wa tzm tuje kwenye bendi zetu zilizikuwa zinaiga miziki ya kongo na kuigeuza kuwa ya kitzed m nao sijui wameshindwa kuiga au maproducer wakina alan nao wameshindwa gemu. ni jambo la kusikitisha bendi kutoka kupiga kwa elfu 10 makumbusho kupiga kwa elf 2000 au bia kwa bia,

Afadhali angalau skylight bendi imeanzia chini sasa nayo inanza kutoza kiingilio, kiingilio bure pale the governar lakini ikija tegeta whatsap ni ths 5000
Jamani bendi ilikuwa raha sana enzi za kimarumaru, twangwa pepeta sasa hii hali ya kusubili wasanii wa bongo fleva wajipange makundi kutupigia kelele sijui itaisha lini maana tulizoea kila jmosi na ijumaa burudani
Muziki wa Dance ulikuwa unaendeshwa na Mapedeshee kina Papaa Musofe, Papaa Ndama, Papaaaa ........., tangu hali yao kiuchumi imebadilika na Muziki wa Dance ni kama umekufa.
 
Bos hebu edit kicha cha uzi. Unaonekana kama uzi wa kitambo kumbe brand new - dec 2020.
Na mtu huyo huyo umemtaja mara 2.
 
Mambo ya wakati tu mkuu!!
Mambo yanabadilika sana, huoni hata Bongofleva sasa hivi kiingilio bure!?

Sasa hivi tunakoelekea wadhamini ndo wanalipia audience kiingilio na wao kutangaza biashara zao!!
 
Mambo ya wakati tu mkuu!!
Mambo yanabadilika sana, huoni hata Bongofleva sasa hivi kiingilio bure!?

Sasa hivi tunakoelekea wadhamini ndo wanalipia audience kiingilio na wao kutangaza biashara zao!!
Tukifika huko ndio itakuwa safi zaidi kwa wasanii mana watapata maslahi mazuri.
 
Bongo fleva ikifa tunahamia kwenye Singeli.
 
Back
Top Bottom