Wanamizengo tumekubali mziki wa dance kufa au maproducer ndio wanaouua wakina majani na pfank

Wanamizengo tumekubali mziki wa dance kufa au maproducer ndio wanaouua wakina majani na pfank

Kama unasherehe ya kipaimara tunaomba connection tuje tutumbuize, malipo plate la pilau kwa kila mmoja wetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi komunyo ya kwanza.
 
Mkuu anasikitisha alianzisha band mwaka huu akatoa nyimbo inaitwa NIMEFULIA na hyo bend iliitwa SHADAI BAND makaz yake yalikuwa dodoma lakn ndan ya miez 2 ikafa kifo Cha mende

Alichezea shilingi chooni,ilitakiwa kipindi kile yupo moto afanye mambo ila aliendekeza bata/kuoa ila kwasasa amefulia kweli....Ni mwendo wa Bajaji za kushare(anashindwa hata kukodi bajaji ya peke yake) na madaladala ,shows za bar za uswahilini.
 
mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe- Banza aliua sana enzi hizo japo nilikuwa bado bado kibana barubaru lakini nilikuwa nauelewa

Wapunguze miziki iwe mifupi we nyimbo ina dakika nane kipindi kizima watapiga nyimbo ngapi sasa
 
mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe- Banza aliua sana enzi hizo japo nilikuwa bado bado kibana barubaru lakini nilikuwa nauelewa

Wapunguze miziki iwe mifupi we nyimbo ina dakika nane kipindi kizima watapiga nyimbo ngapi sasa
Mbona radio zina vipindi vya nyimbo za South unakuta nyimbo Ina dakika 6-10 , sema watanzania hatupendi vya kwetu.
 
Mbona radio zina vipindi vya nyimbo za South unakuta nyimbo Ina dakika 6-10 , sema watanzania hatupendi vya kwetu.
Mkuu shida siyo kupenda vya kwetu, shida ni product unayowaletea watanzania. Huwezi niletea product mbovu mbovu halafu utegemee niipende kisa wewe mtanzania, unless ushatengeneza jina na uliwekeza kwa muda mrefu sasa nainunua tu kutokana na jina, kama WCB wanachofanya hata wakohoe kwenye nyimbo zinaenda tu.
 
Mkuu shida siyo kupenda vya kwetu, shida ni product unayowaletea watanzania. Huwezi niletea product mbovu mbovu halafu utegemee niipende kisa wewe mtanzania, unless ushatengeneza jina na uliwekeza kwa muda mrefu sasa nainunua tu kutokana na jina, kama WCB wanachofanya hata wakohoe kwenye nyimbo zinaenda tu.
Safiiii
 
Ukitaka kujua watanzania wanapenda vya kwa vikiwa vizuri, waulize akina dada na pedi za HQ, japo kuna pedi nyingi zinatoka nje lakini wengi wanapenda HQ na zinauzwa bei ila wanasema quality yake ni superb.
 
Majani na Pfank na ni P funk sio pfank.

Any way atakuelewa
Bos hebu edit kicha cha uzi. Unaonekana kama uzi wa kitambo kumbe brand new - dec 2020.
Na mtu huyo huyo umemtaja mara 2.
 
Muziki wa Dance ulikuwa unaendeshwa na Mapedeshee kina Papaa Musofe, Papaa Ndama, Papaaaa ........., tangu hali yao kiuchumi imebadilika na Muziki wa Dance ni kama umekufa.
You Nailed. Hii ndio sababu kuu. Ikawafanya wanamuziki wasiwe wabunifu.

Kingine chuki na fitina. Sijawahi ona aina ya muziki ambao wadau wake [wanamuziki, watangazaji na mashabiki waandamizi] wanachuki kama wa muziki wa Dansi.
 
Ukitaka kujua watanzania wanapenda vya kwa vikiwa vizuri, waulize akina dada na pedi za HQ, japo kuna pedi nyingi zinatoka nje lakini wengi wanapenda HQ na zinauzwa bei ila wanasema quality yake ni superb.
Pedi tena[emoji16]

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom