tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,323
Nimekuwa nikiongea na wanamuziki wengi wa kutoka DRC zamani Zaire wanasema mafanikio yao yanachangiwa sana na kuheshimu mchango wa Mwalimu wako wa Music.
Mfano Mwanamuziki kama Koffie Olomide aliowafundisha music Ferre Gola na Fally Ipupa ni kwamba hawa wanamusic wawili hata siku moja hawezi kumdharau Koffie Olomide na hata siku moja hawawezi kuuza album zao bei juu zaidi ya Koffie Olomide
Kama ilivyokuwa kwa Luambo alivyomfundisha music Madilu hata siku moja Madilu haijawahi kumbeza Luambo mpaka anafariki.
Wanasema wenyewe siri hiyo ya wanamusic wa kikongo ndiyo imewafanya wengi kuwa katika viwango vizuri na hata kutokuwa na mabishano wala malumbano katika music wao wala kusikia eti wazee wamesahaulika au kulia njaa.
Hata hapa Tanzania nadhani tukiwaheshimu walimu wako wa music basi hali itakuwa nzuri tu na heshima itakuwa nzuri na music utakuwa kuliko kubezana na kuona mwalimu kwako hana maana tena baada ya mafanikio fulani uliyofikia.
Mfano Mwanamuziki kama Koffie Olomide aliowafundisha music Ferre Gola na Fally Ipupa ni kwamba hawa wanamusic wawili hata siku moja hawezi kumdharau Koffie Olomide na hata siku moja hawawezi kuuza album zao bei juu zaidi ya Koffie Olomide
Kama ilivyokuwa kwa Luambo alivyomfundisha music Madilu hata siku moja Madilu haijawahi kumbeza Luambo mpaka anafariki.
Wanasema wenyewe siri hiyo ya wanamusic wa kikongo ndiyo imewafanya wengi kuwa katika viwango vizuri na hata kutokuwa na mabishano wala malumbano katika music wao wala kusikia eti wazee wamesahaulika au kulia njaa.
Hata hapa Tanzania nadhani tukiwaheshimu walimu wako wa music basi hali itakuwa nzuri tu na heshima itakuwa nzuri na music utakuwa kuliko kubezana na kuona mwalimu kwako hana maana tena baada ya mafanikio fulani uliyofikia.