....Fanya hivi nenda mtaani kwako kijiweni , kwenye biashara au makazini walipo angalau midume kumi, uwaonyeshe picha mbili moja demu mwenye chura wa haja na nyingine flat screen uone reaction zao na ulete mrejesho.wakuu habari
nimekuwa nikijiuliza kitu gani kipo kwenye akili za wanamuziki wengi wa kiafrika hawawezi kutoa nyimbo zenye video hadi ziwe na video queens wenye makalio makubwa. ina maana no way out than concerning your video without them big booty
je ni kipi kipo nyuma ya pazia
...Wewe ni mbantu? Au Mzungu?Extra musica wameng'ara dunia nzima bila video queens. Ni ujinga tu wa wanamuziki wetu
....Sasa ww si unaiga uzungu?? mbantu original bado hujamwambia kitu kwenye hilo suala la hizo neema za Allah.Upuuzi tu na miziki yetu ya big g! Leo ina hit kesho chali! Franco, Manu Dibango, Fella, Lucky Dube, Oliver Ngoma and many more Africas great artists hakuna huo upuuzi wa makalio! Iwe Ulaya, America na kwingineko wanamuziki mashuhuri hawafanyi video hizo!
wakuu habari
nimekuwa nikijiuliza kitu gani kipo kwenye akili za wanamuziki wengi wa kiafrika hawawezi kutoa nyimbo zenye video hadi ziwe na video queens wenye makalio makubwa. ina maana no way out than concerning your video without them big booty
je ni kipi kipo nyuma ya pazia
Wanawake wenyewe wanawahaha wanawake wenzao wenye maumbile yenye utata kuliko ya kwao.Mimi nina nyongeza katika hili:
- Ina maana hata wanawake nao wanapenda kuangalia wanawake wenzako wenye makalio makubwa? Au,
- Wafuasi wao wengi ni wanaume na kwahiyo wanapenda kuwapa ile kitu wanapenda?!
Mpaka huku Tahiti wamehit?Extra musica wameng'ara dunia nzima bila video queens. Ni ujinga tu wa wanamuziki wetu
wanajua ugonjwa wetu.wakuu habari
nimekuwa nikijiuliza kitu gani kipo kwenye akili za wanamuziki wengi wa kiafrika hawawezi kutoa nyimbo zenye video hadi ziwe na video queens wenye makalio makubwa. ina maana no way out than concerning your video without them big booty
je ni kipi kipo nyuma ya pazia
Dohwakuu habari
nimekuwa nikijiuliza kitu gani kipo kwenye akili za wanamuziki wengi wa kiafrika hawawezi kutoa nyimbo zenye video hadi ziwe na video queens wenye makalio makubwa. ina maana no way out than concerning your video without them big booty
je ni kipi kipo nyuma ya pazia