Wanamziki chipukizi wanaoshindania tuzo za eatv awards

Wanamziki chipukizi wanaoshindania tuzo za eatv awards

Mayunga, bright, fezza kessi nawajua tangia mwaka 2012 leo ni 2016 hivi bado ni chipukizi hawa?? Labda nitakuwa sijui maana ya neno chipukizi
mbona tekno kawa chipukizi MTVBASE [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mayunga, bright, fezza kessi nawajua tangia mwaka 2012 leo ni 2016 hivi bado ni chipukizi hawa?? Labda nitakuwa sijui maana ya neno chipukizi
mbona tekno kawa chipukizi MTVBASE [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Galatone na Raymond wa kitambo sio chipukizi
Mkuu hawa ni chipkizi kwa sababu hawajaw kuwa kategor yoyote angalia baraka alipewa tuzo wakati alianza muda kikubwa huwa tunaangalia nyimbo iliyokutoa
 
Safi EATV taratibu tutafika.....hao ambao hawamo hawakwenda kuomba nafasi jamani....atahvyo tunajifunza kutokana na makosa
 
Back
Top Bottom