Wananchi bado sana. Dk 82 mechi ni sare, simu zimepigwa nyingi sana kwa viongozi wa Dodoma Jiji

hii ile mechi na mazembe,monastir,marumo nani alipigiwa simu yanga ishinde?mm nimesahau kidogo
 
Dawa inaingia na inafanya kazi vizuri poleni sana wagonjwa wote wa Yanga fever
 
Unaumia ukiwa wapi?[emoji1][emoji1][emoji169][emoji169][emoji172][emoji172][emoji123]Tulia sindano ikuingie.
 
Mtoto mdogo ww huna unachojua
Ndio maana nimetaka majibu kwa wewe unayejua. Nimekuuliza hiyo simu imepigwa kutokea kwa nani kwenda kwa nani? Ukishindwa kujibu hili swali nitakuona hustahili kuwepo kwenye hii platform ya JF. Ulipaswa kuishia Facebook huko
 
Sikujua hili kumbe mpk dkk ya 82 ni droo
 
🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…