Wananchi Bukoba: Machinjio Manispaa ya Bukoba siyo rafiki kwa matumizi, yaboreshwe

Wananchi Bukoba: Machinjio Manispaa ya Bukoba siyo rafiki kwa matumizi, yaboreshwe

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
Wananchi Manispaa ya Bukoba Mjini wameilalamikia miundombinu ya machinjio na kudai kuwa siyo rafiki kwa matumizi ya binadamu na afya kwa ujumla.

Baadhi ya changamoto zilizolalamikiwa katika machinjio hiyo ni pamoja na

Plumbing system ni chafu na mifereji imekufa, drainage system hakuna, sakafu na kuta zote zina hali mbaya sana.

Wananchi hao wameitaka mamlaka husika kuingilia kati na kujenga machinjio ya kisasa yenye hadhi na inayozingatia miundombinu bora ya kiafya kabla hii iliyopo kuleta madhara.

Mdau anasema kuwa, awali alishawahi kulalamikia machinjio hayo na kusambaza video, lakini machinjio hayo yalifungwa kwa muda, mamlaka husika ikaanza kumtafuta aliyerekodi video hiyo na kuwafukuza walinzi wa machinjio hiyo lakini hakuna marekebisho yaliyofanyika.

Ni alert kabla ya outbreak ya magonjwa ya kuambukiza kutokea vyombo vya Usalama wa Chakula, Mazingira na Dawa (TFDA) watembelee eneo husika na kutoa ushauri haraka!

Baadhi ya Video kutoka machinjioni;


 
Bukoba kuna nin kizuri? Naona kila kitu ni kibaya 😂😂
Stand, soko, barabara, machinjio nk
 
Bukoba kuna nin kizuri? Naona kila kitu ni kibaya 😂😂
Stand, soko, barabara, machinjio nk
Kuna ziwa, mito mingi ukiwepo mto ngono, maporomoko ya maji, ndizi, kahawa,soko la Katerero nk nk
 
Bukoba kuna nin kizuri? Naona kila kitu ni kibaya [emoji23][emoji23]
Stand, soko, barabara, machinjio nk

Hali ya hewa,chakula na wanawake wenye utelezi mwingi na maji ya kutosha. Suala la miundombinu nitawaachia wadau walizungumzie[emoji28]
 
Wananchi Manispaa ya Bukoba Mjini wameilalamikia miundombinu ya machinjio na kudai kuwa siyo rafiki kwa matumizi ya binadamu na afya kwa ujumla.

Baadhi ya changamoto zilizolalamikiwa katika machinjio hiyo ni pamoja na

Plumbing system ni chafu na mifereji imekufa, drainage system hakuna, sakafu na kuta zote zina hali mbaya sana.

Wananchi hao wameitaka mamlaka husika kuingilia kati na kujenga machinjio ya kisasa yenye hadhi na inayozingatia miundombinu bora ya kiafya kabla hii iliyopo kuleta madhara.

Mdau anasema kuwa, awali alishawahi kulalamikia machinjio hayo na kusambaza video, lakini machinjio hayo yalifungwa kwa muda, mamlaka husika ikaanza kumtafuta aliyerekodi video hiyo na kuwafukuza walinzi wa machinjio hiyo lakini hakuna marekebisho yaliyofanyika.

Ni alert kabla ya outbreak ya magonjwa ya kuambukiza kutokea vyombo vya Usalama wa Chakula, Mazingira na Dawa (TFDA) watembelee eneo husika na kutoa ushauri haraka!

Baadhi ya Video kutoka machinjioni;

View attachment 2790146
View attachment 2790147

TFDA ilishavunjwa kazi za usalama wa chakula na vipodozi zimehamishwa TBS.
 
Bukoba kuna nin kizuri? Naona kila kitu ni kibaya [emoji23][emoji23]
Stand, soko, barabara, machinjio nk
Sio kwamba hakuna vizr bali ni wahaya kuwa exposed na maendeleo ya dunia...so wakiona vitu haviko sawa wanacomplain...n kweli wanaishiwa kusaidiwa....( japo napo viongozi wabinafsi uanza kugombana)..

Walilamika sana kuhusu barabara ya uganda kuwa finyu na ajali nyingi...sasa iko inapanuliwa kuwa njia nne km 5....

Walililamika sana kuhusu stand...( sasa ujenzi unaendelea na mabasi yamehamishwa...

Walilamika kuhusu airport kutokuwa na taa za kuongoza ndege
Sasa ziko zinawekwa...

Soko na machinjio vipo kwenye mradi wa tactic unaoanza mwakani...


Kimsingi Bukoba inapiga hatua haraka sana...angalia hata barabara za mitaa hapo...nyingi ziko tarmacked.....
LAKIN MIKOA MINGINE WANA MATATIZO KIBAO TU KAMA UKOSEFU WA MAJI, BARABARA MBOVU NK MFANO TU ANGALIA HALI YA BARABARA ZA MOROGORO MJINI...NI MAJANGA MAJANGA....
LAKIN WAPO TU NA MBUNGE WAO ABOOD

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Sio kwamba hakuna vizr bali ni wahaya kuwa exposed na maendeleo ya dunia...so wakiona vitu haviko sawa wanacomplain...n kweli wanaishiwa kusaidiwa....( japo napo viongozi wabinafsi uanza kugombana)..

Walilamika sana kuhusu barabara ya uganda kuwa finyu na ajali nyingi...sasa iko inapanuliwa kuwa njia nne km 5....

Walililamika sana kuhusu stand...( sasa ujenzi unaendelea na mabasi yamehamishwa...

Walilamika kuhusu airport kutokuwa na taa za kuongoza ndege
Sasa ziko zinawekwa...

Soko na machinjio vipo kwenye mradi wa tactic unaoanza mwakani...


Kimsingi Bukoba inapiga hatua haraka sana...angalia hata barabara za mitaa hapo...nyingi ziko tarmacked.....
LAKIN MIKOA MINGINE WANA MATATIZO KIBAO TU KAMA UKOSEFU WA MAJI, BARABARA MBOVU NK MFANO TU ANGALIA HALI YA BARABARA ZA MOROGORO MJINI...NI MAJANGA MAJANGA....
LAKIN WAPO TU NA MBUNGE WAO ABOOD

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

Itapendeza sana,kwangu bkb ni mji mzuri sana wa kuishi,vipi stendi wamehamisha mabasi kwamba inafanyiwa marekebisho hiyo hiyo ya hapo mjini ama?
 
Itapendeza sana,kwangu bkb ni mji mzuri sana wa kuishi,vipi stendi wamehamisha mabasi kwamba inafanyiwa marekebisho hiyo hiyo ya hapo mjini ama?
Mabasi wameyahamishia maeneo ya magoti...daladala zote zimehamishiwa machinjioni nyingine kagondo...

Hii stendi inajengwa mpya kabisa na jengo zuri tu la abiria....itakuwa kwa ajili ya daladala zote za mjini kati na zile za baadhi ya vijiji vya karibu.....hii inajengwa kwa miezi sita...ili hiace zirudi pale

Stendi kuu ya mabasi ujenzi utaanza mwakani kule kule kyakairabwa ambao ni mradi wa tactic....bukoba imetengewa billion 100 kujenga stendi, soko, machinjio, mto kanoni na barabara zenye urefu wa km 10 katikakati ya mji...lakin pia barabara mpya inajengwa kupitia karabagaine na kiziru kutokezea kyakairabwa...mabasi yote yataacha kupita kibeta yatapita huko na kuelekea kyakairabwa stendi mpya...



Bukoba pia kuna ujenzi wa chuo kikuu unaendelea kule itahwa



11.JPG


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mabasi wameyahamishia maeneo ya magoti...daladala zote zimehamishiwa machinjioni nyingine kagondo...

Hii stendi inajengwa mpya kabisa na jengo zuri tu la abiria....itakuwa kwa ajili ya daladala zote za mjini kati na zile za baadhi ya vijiji vya karibu.....hii inajengwa kwa miezi sita...ili hiace zirudi pale

Stendi kuu ya mabasi ujenzi utaanza mwakani kule kule kyakairabwa ambao ni mradi wa tactic....bukoba imetengewa billion 100 kujenga stendi, soko, machinjio, mto kanoni na barabara zenye urefu wa km 10 katikakati ya mji...lakin pia barabara mpya inajengwa kupitia karabagaine na kiziru kutokezea kyakairabwa...mabasi yote yataacha kupita kibeta yatapita huko na kuelekea kyakairabwa stendi mpya...



Bukoba pia kuna ujenzi wa chuo kikuu unaendelea kule itahwa



View attachment 2790989

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

Tuombe majungu na kukwamishana kwa wana bukoba kusiwepo ili hii miradi ikamilike hakika bkb itapendeza sana.
 
Tuombe majungu na kukwamishana kwa wana bukoba kusiwepo ili hii miradi ikamilike hakika bkb itapendeza sana.
I hope washajifunza sasa...

Maana mimi nimeshangaa...wameweza kuhamisha stendi? Wameweza kuvunja nyumba ili barabara ipanuliwe?
Hakika viongozi wa bukoba wamebadilika....

I hope this time watafanikiwa...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mbunge wa Bukoba Vijijini yeye ni Master of ceremony wa siku ya Wahaya akiwa Dar.
Kwao kanazi kuna lami ndo maana hana haja ya kutembelea vijijini kama Ibwera, Katoro, Izimbya na kwingine kote kisa, hakuna barabara za lami.
Anasubiri uchaguzi ili aje na helicopter ashushe pesa asepe.
Zamu hii akirudisha jina akateuliwa au akapita bila kupingwa, wajue watajifunza kutoka kata ya Ibwera. Wananchi waliamua kuchagua upinzani kuliko kumchagua diwani ambaye hajawahi hata kujitokeza katani mpaka alipong'olewa ndo akaanza kuhudhulia misiba.
 
Back
Top Bottom