Wananchi kata ya Mkoma wilayani Newala mkoani Mtwara hawajawahi kuona gari aina ya Fuso!

Wananchi kata ya Mkoma wilayani Newala mkoani Mtwara hawajawahi kuona gari aina ya Fuso!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwanza nauliza mbunge wa Newala ni nani na anatokea chama gani cha siasa?

Nimeona kupitia kipindi cha Taarifa ya habari ITV wananchi wa kata ya Mkoma wilayani Newala mkoani Mtwara wakilalamikia ubovu wa barabara katika kata yao na kwamba hawajawahi kuona Fuso zaidi ya kuziona luningani.

Nimeshangaa na kusikitika sana, kule Rombo kwa mfano mabodi ya Fuso hutumika kama mabanda ya kufugia nguruwe vijijini.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hawalimi korosho? Na kama wanalima, je unatumika usafiri wa aina gani kubeba matani ya korosho kupeleka ghala kuu la TANECU lililopo pale Newala mjini?
 
Hawalimi korosho? Na kama wanalima, je unatumika usafiri wa aina gani kubeba matani ya korosho kupeleka ghala kuu la TANECU lililopo pale Newala mjini?
Mbunge wa Newala ni nani bwashee?
 
Hiyo ni lugha tu ya kuhimiza utekelezaji wa ujenzi wa barabara yao... Haimanishi hawalijui fusso linafananaje
 
Back
Top Bottom