Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naenda YouTube natafuta video ilioaandikwa Ruto aambiwe finance bill sio kubwa kuliko hawa watotoKwamba wanapenda nyongeza sio!!
Nakuelewa.Naenda YouTube natafuta video ilioaandikwa Ruto aambiwe finance bill sio kubwa kuliko hawa watoto
Uzuri aliesema hayo maneno ni mbunge ambae ni mwanamke mwenzenu,Hivi wanawake waliwakoseaga nini eti, nyie viumbwela?
Mbona msiseme wananunulika kama soda ya pepsi au hata mafuta ya kula???
Shame on you!
Kitu ndogoWananchi wa Kenya , wamewalaumu wabunge wao Kwa kununuliwa kama wanawake ili kupitisha bajeti ya Mwaka huu 2024/25
Bora wao wabunge wananunuliwa. Hawa wa kwetu ni bure kabisa wanajipeleka. Jamaa wanajipigia bure tuWananchi wa Kenya , wamewalaumu wabunge wao Kwa kununuliwa kama wanawake ili kupitisha bajeti ya Mwaka huu 2024/25
Kumbe wewe ni mwanamke, well well wellHivi wanawake waliwakoseaga nini eti, nyie viumbwela?
Mbona msiseme hao wanasiasa wananunulika kama soda ya pepsi au hata mafuta ya kula???
Shame on you!
dawa ni kuwafata huko kwao.hapa tanzania wa kwanza wangefatwa kwao wakabebewa vitu vyao ni msukuma na mwiguru,bashe na n.kWananchi wa Kenya , wamewalaumu wabunge wao Kwa kununuliwa kama wanawake ili kupitisha bajeti ya Mwaka huu 2024/25