Chevi_masta
Member
- Sep 13, 2021
- 11
- 15
Hapo hata waleTimu ya Wananchi, @yangasc1935 jumapili kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu dhidi ya Kagera Sugar imeandaa sherehe fupi inayofahamika kama 'Wananchi Mihogo Party' ambayo imeandaliwa rasmi kwa ajili ya mashabiki wa timu hiyo.View attachment 2413684
Wakwanza ata kuwa Gentamycine a.k.a Mr.Idiot😄😄😄Hapo hata wale
wa Simba tutawaona watavokuja na michepuko yao
Usiite futari.Inaitwa kapile ya mihogo.Imeungwa nyanya hazijamenywa na mawese.View attachment 2413700
Futari ya mihogo iliyopikwa kwa mawese na nyama itakuepo
Genta anachaje kwa mfano na walivoshinda alikuja na uzi kabisa Warundi wanapenda kujigambaWakwanza ata kuwa Gentamycine a.k.a Mr.Idiot😄😄😄
Acha utani na kuku weye!Kuku ule kwa mihogo?Utaumwa tumbo.Mila zinakataa.Muhogo laini uliochemshwa na kipande cha kuku itakuepo
View attachment 2413701
Acha utani na kuku weye!Kuku ule kwa mihogo?Utaumwa tumbo.Mila zinakataa.
Utapata alergy/mzio.Usithubutu.Waachie wanautopolo mlo wao.Basi siku ukila hutoacha, yaani kuku achemshwe kisha akaangwe, muhogo uchemshwe kisha upitishwe kwenye mafuta upewe na pilipili na limao wewe ni kushinda unapiga maji tu na nguvu isiohesabika
Watakuja kula mihogo siyo! Kwa sasa umaarufu wa Mihogo umeongezeka maradufu.Hapo hata wale
wa Simba tutawaona watavokuja na michepuko yao
Mla muhogo! La haula!Timu ya Wananchi, @yangasc1935 jumapili kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu dhidi ya Kagera Sugar imeandaa sherehe fupi inayofahamika kama 'Wananchi Mihogo Party' ambayo imeandaliwa rasmi kwa ajili ya mashabiki wa timu hiyo.View attachment 2413684