Muhogo miezi kama hii umeisha kigoma, geita, kwa sasa mfanyabiashara anafuata Mtwara kwa shilingi 500, ambapo tani thelathini ya muhogo ni 15 milioni mtwara, gari semi tani( nauli) milioni 10 mtwara uganda , ushuru na wabebaji ni laki 6 , clearing boda kuvusha na kushusha semi ni laki 6 , mauzo jumla leo kwa uganda kilo moja ilikua 1040 hivo mauzo milioni 31200000 toa manunuzi na gharama ilikua milioni 27200000 kinachobaki ni faida yako kama milioni tatu na laki nane kazi ya siku 10 ushatoka mtwara hadi mutukula msidharau muhogo ndugu zangu, MUHOGO JUU JUU ZAID