Pre GE2025 Wananchi Morogoro wabubujikwa machozi ya furaha Rais Samia kutunikiwa Udaktari wa Heshima! Ukiwahesabu hao watu ni 2 tu!

Pre GE2025 Wananchi Morogoro wabubujikwa machozi ya furaha Rais Samia kutunikiwa Udaktari wa Heshima! Ukiwahesabu hao watu ni 2 tu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Hivi vichwa vya habari lazima director na mhariri mkuu atakuwa Lucas Mwashambwa tu, afu wana undugu na Tlaatlaah :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKWlaugh:

Mnatumia nguvu kubwa kufanya mama akubalike lakini wapi, angalau basi mkiwapa watu script wawe hata na tu lugha twa ushawishi🌚🌚

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

=====


 
Wakuu,

Hivi vichwa vya habari lazima director na mhariri mkuu atakuwa Lucas Mwashambwa tu, afu wana undugu na Tlaatlaah :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKWlaugh:

Mnatumia nguvu kubwa kufanya mama akubalike lakini wapi, angalau basi mkiwapa watu script wawe hata na tu lugha twa ushawishi🌚🌚

=====

my lovely lady Cute Wife ,

nisamehe sana sijaskiza na sijafungua ulichoambatanisha kwenye hoja yako,

but I can assure you and confirm to Tanzanians without fear of contradictions, kwamba maoni yao dhidi ya kipenzi na tumaini lao Dr Samia Suluhu Hassan yamezingatiwa na taasisi zote za umma na wananchi wote bila mbambamba ya mtu yeyote.

Dr Samia Suluhu Hassan, is the president of united republic of Tanzania, by Grace of God to 2035🐒
 
my lovely lady Cute Wife ,

nisamehe sana sijaskiza na sijafungua ulichoambatanisha kwenye hoja yako,

but I can assure you and confirm to Tanzanians without fear of contradictions, kwamba maoni yao dhidi ya kipenzi na tumaini lao Dr Samia Suluhu Hassan yamezingatiwa na taasisi zote za umma na wananchi wote bila mbambamba ya mtu yeyote.

Dr Samia Suluhu Hassan, is the president of united republic of Tanzania, by Grace of God to 2035🐒
Kwahiyo umekimbia kufungua kuona hao watu wawili pekee? 🌚 🌚
 
Kwahiyo umekimbia kufungua kuona hao watu wawili pekee? 🌚 🌚
siko pazuri plz my Lady, nilipo pana kelele, halafu nipo na wazee kidogo, excuse me my lovely lady nisionekane siko na nidhamu, nisitiri wangu but nimeidownload, ntaisikiza tu🐒
 
Wakuu,

Hivi vichwa vya habari lazima director na mhariri mkuu atakuwa Lucas Mwashambwa tu, afu wana undugu na Tlaatlaah :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKWlaugh:

Mnatumia nguvu kubwa kufanya mama akubalike lakini wapi, angalau basi mkiwapa watu script wawe hata na tu lugha twa ushawishi🌚🌚

=====

Digrii za kusomea zinawaongezea wahusika maarifa na uelewa kiakili. Je hizi digrii za heshima zinamuongezea nini mhusika?
 
Back
Top Bottom