K kitimtim JF-Expert Member Joined Nov 24, 2010 Posts 1,783 Reaction score 2,273 Sep 8, 2024 #21 Bams said: Halafu tunayo mapunguani humu yanayompigia debe, huku watanganyika wenzetu wanazidi kupoteza uhai wao. Click to expand... Kuna wapumbavu wengi ccm
Bams said: Halafu tunayo mapunguani humu yanayompigia debe, huku watanganyika wenzetu wanazidi kupoteza uhai wao. Click to expand... Kuna wapumbavu wengi ccm
M Mtutuwandei JF-Expert Member Joined Jun 28, 2022 Posts 1,317 Reaction score 1,817 Sep 8, 2024 #22 Japhet gombe said: Haya mambo ni mageni tu huku Tanzania Bara ila wenzetu wa Zanzibar wameshayasahau haya madhila hata huku ifafika mahali yataisha. Click to expand... Hawajayasahau. Mazombi bado wapo. Muulize Baraka Shamte.
Japhet gombe said: Haya mambo ni mageni tu huku Tanzania Bara ila wenzetu wa Zanzibar wameshayasahau haya madhila hata huku ifafika mahali yataisha. Click to expand... Hawajayasahau. Mazombi bado wapo. Muulize Baraka Shamte.
KingCobra95 JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 3,249 Reaction score 5,863 Sep 8, 2024 #23 Viongozi wa upinzani kila siku wanaitisha press conference mkasema mmewachoka
Vishu Mtata JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 15,954 Reaction score 35,415 Sep 8, 2024 #24 Kama wasiojulikana wanajulikana ni kheri na wao wauwawe tu...