Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Sidhani hii ratiba ilikuwepo tayari na watakachosema wabunge kitakuwa kwenye Kila platforms ukitaka utakipataSasa wanataka kututoa kwenye reli ya kusikia watakachosema Wabunge kwenye swala la Bandari.
Yanga ni kijiwe cha CCM.
Ilikosekana wapi mbona makolo mnapata tabu sanaKumbe mnanisikiliza. Niliwaambia nembo ya SportPesa inakosekana kwenye poster mmeenda kurekebisha. Safi sana, hivyo ndiyo jinsi mikataba inavyoheshimiwa.
Kwani mwaka jana yanga hakufanya paradeSasa wanataka kututoa kwenye reli ya kusikia watakachosema Wabunge kwenye swala la Bandari.
Yanga ni kijiwe cha CCM.
Ilikosekana wapi mbona makolo mnapata tabu sana
Hakuna mdhamini hata mmoja kwenye Post hii nilijua unalalamika kwamba yanga wameweka ambayo inawadhamini wengine alafu wameisahau sportpesa
SawaaaHakuna mdhamini hata mmoja kwenye Post hii nilijua unalalamika kwamba yanga wameweka ambayo inawadhamini wengine alafu wameisahau sportpesa
๐ช๐๐ก๐๐ก๐๐๐ ๐ฃ๐๐ฅ๐๐๐[emoji471]
๐ ๐๐๐๐ก๐๐ช๐ wa kihistoria Jumamosi ya tarehe 10.06.2023 tutakuwa na ๐ฃ๐๐ฅ๐๐๐ kubwa ya kusherekea ubingwa wa mara ๐ฎ๐ต na Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa Young Africans SC kuanzia uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, saa 03:00 asubuhi na kupita Veta - Kamata - Msimbazi na Mwisho Makao Makuu ya Klabu yetu Jangwani.
#KlabuYaTaifa
#WananchiParade
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
UPDATE YA MATUKIO YOTE NA PICHA ZITAPATIKANA KWENYE UZI HUU View attachment 2651039
Hicho kiherehere ungekitumia vizuri mngekua fainali CAF sasa hivi