Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Mapema mno wananchi waliohojiwa kweny mitaa ya miji mikuu ya nchi hizo mbili wamebainisha kuwa uamuzi wa kuomba uanachama wa NATO uliofanywa hapo juzi na viongozi wao si sehemu ya matakwa ya raia wa nchi hizo.
Wamesema kuomba huko na iwapo hatimae watakuwa wanachama wa umoja huo utaondosha hadhi ya muda mrefu ya kuwa watetezi wa amani wa dunia.
Wamesema kuomba huko na iwapo hatimae watakuwa wanachama wa umoja huo utaondosha hadhi ya muda mrefu ya kuwa watetezi wa amani wa dunia.