Wananchi tuache kuihusisha Serikali na mambo ya kipumbavu kama ushoga na mengineyo

Wananchi tuache kuihusisha Serikali na mambo ya kipumbavu kama ushoga na mengineyo

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Wananchi wa Tanzania tuache kuihusisha Serikali na mambo ya kipumbavu kama ushoga na mengineyo. Tukumbuke kuwa Serikali inajadili mambo ambayo yana maslai makubwa katika taifa letu ikiwemo afya, elimu, usalama na mengineyo mengi. Hakuna siku Serikali itasimama hadharani kuzungumzia mambo ya kipumbavu yasiokuwa na tija katika taifa letu ikiwemo ushoga, usagaji na mengineyo mengi. Swala la ushoga linajikita katika malezi hivyo basi mtoto anapoharibikiwa lawama zipelekwe kwa wazazi na walezi na sio serikali.
 
Watakuambia ushoga ina maslahi makubwa kwao na kwa serikali pia!
 
Serikali isikae kimya kwa hili maana si jadi yetu. Iseme wazi kuwa ushoga ni haramu. Hata watunyime mokopo
 
Wananchi wa Tanzania tuache kuihusisha Serikali na mambo ya kipumbavu kama ushoga na mengineyo. Tukumbuke kuwa Serikali inajadili mambo ambayo yana maslai makubwa katika taifa letu ikiwemo afya, elimu, usalama na mengineyo mengi. Hakuna siku Serikali itasimama hadharani kuzungumzia mambo ya kipumbavu yasiokuwa na tija katika taifa letu ikiwemo ushoga, usagaji na mengineyo mengi. Swala la ushoga linajikita katika malezi hivyo basi mtoto anapoharibikiwa lawama zipelekwe kwa wazazi na walezi na sio serikali.
Haihitaji akili nyingi sana kuwafahamu mashoga!

Serikali ndiyo inayowekewa mikwara/masharti na mataifa ya ulaya ili tu wapewe mikopo na eitha isinyimwe misaada n.k ikiwa hawatazuia na ama kuweka sheria zisizoruhusu huo upumbavu wenu huo ili tu serikali izitambue haki zenu

Unadhani ni kivipi serikali haiwezi kuliweka bayana hili na ikiwezekana serikali ije na sheria kali kuzuia ushenzi huo?

Urusi na Uganda na hata China wao walilipeleka Bungeni kama mswada na kisha kutungiwa sheria kali kuwahusu nyie kwa nini unadhani serikali yetu hailihusu jambo hili?

Serikali ikizungumzia Afya za watu ni pamoja na huo upumbavu wenu maana ni maradhi tupu, hamuwezi hata kukaa vema mpaka mjambejambe, hayo siyo maradhi?

Koma wewe
 
Mmeshakopa sana... Kifupi mmshaolewa.. hamuwezi ukwepa ushoga tena..
 
Wananchi wa Tanzania tuache kuihusisha Serikali na mambo ya kipumbavu kama ushoga na mengineyo. Tukumbuke kuwa Serikali inajadili mambo ambayo yana maslai makubwa katika taifa letu ikiwemo afya, elimu, usalama na mengineyo mengi. Hakuna siku Serikali itasimama hadharani kuzungumzia mambo ya kipumbavu yasiokuwa na tija katika taifa letu ikiwemo ushoga, usagaji na mengineyo mengi. Swala la ushoga linajikita katika malezi hivyo basi mtoto anapoharibikiwa lawama zipelekwe kwa wazazi na walezi na sio serikali.
Kijana unajua kazi ya serikali?
 
Mtoto kuwa shoga ni issue ya malezi wala sio serikali, hata serikali ikisema ushoga ni kosa ila kama utalea mtoto wako ovyo bas atakuwa tu shoga kama ambavyo wizi ni kosa ila ukimlea mtoto wako ovyo anakuwa mwizi

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Wananchi wa Tanzania tuache kuihusisha Serikali na mambo ya kipumbavu kama ushoga na mengineyo. Tukumbuke kuwa Serikali inajadili mambo ambayo yana maslai makubwa katika taifa letu ikiwemo afya, elimu, usalama na mengineyo mengi. Hakuna siku Serikali itasimama hadharani kuzungumzia mambo ya kipumbavu yasiokuwa na tija katika taifa letu ikiwemo ushoga, usagaji na mengineyo mengi. Swala la ushoga linajikita katika malezi hivyo basi mtoto anapoharibikiwa lawama zipelekwe kwa wazazi na walezi na sio serikali.
Serikali lazima ihusike kwa mfano kwani ni wajibu wa mzazi kukagua ubora wa elimu katika mashule ambako watoto wanafundishwa masuala hayo ref..kupatikana kwa vitabu vinavyohamasisha ushoga je serikali imwachie mzazi kwakuwa inashughulikia maji, umeme, barabara afya n.k?
 
Serikali lazima ihusike kwa mfano kwani ni wajibu wa mzazi kukagua ubora wa elimu katika mashule ambako watoto wanafundishwa masuala hayo ref..kupatikana kwa vitabu vinavyohamasisha ushoga je serikali imwachie mzazi kwakuwa inashughulikia maji, umeme, barabara afya n.k?
Serikalini ikishughulika tena na maswala ya malezi ya watoto hao wazazi majukumu yao yatakuwa yapi? Mzazi manake ni kiongozi wa mtoto yeye ndiye dereva wake na sio serikali, serikali itashughulika na watu ambao wamepata malezi kutoka kwa wazazi na walezi wao, ikiwa kuna yatima na wazazi wasiojiweza kabisa hapo ndipo serikali itaweka mkono wake na si vinginevyo,
 
Wananchi wa Tanzania tuache kuihusisha Serikali na mambo ya kipumbavu kama ushoga na mengineyo. Tukumbuke kuwa Serikali inajadili mambo ambayo yana maslai makubwa katika taifa letu ikiwemo afya, elimu, usalama na mengineyo mengi. Hakuna siku Serikali itasimama hadharani kuzungumzia mambo ya kipumbavu yasiokuwa na tija katika taifa letu ikiwemo ushoga, usagaji na mengineyo mengi. Swala la ushoga linajikita katika malezi hivyo basi mtoto anapoharibikiwa lawama zipelekwe kwa wazazi na walezi na sio serikali.
Hii imeenda, Hivi unajua umeandika nini?
 
Back
Top Bottom