Wananchi tunaenda kujinyakulia tuzo zetu tatu za uhakika

Wananchi tunaenda kujinyakulia tuzo zetu tatu za uhakika

Tumeshasema huu mjadala kama timu yako haipo kaa kimya.
Ninyi mlikuwa mnaongea zaidi yetu kwenye African Football League (AFL) na hamkuwemo hata kwenye orodha ya wageni kwenye ufunguzi. Ilikuwaje b...?

Ova
 
Wakina Mwakarobo walikuwa wanasema tuonyesheni kiatu cha Mayele cha ufungaji bora shirikisho sasa sijui wataweka wapi sura zao hiyo siku.

Tuzo ya Sakho ya goli bora walifanya wimbo wa Taifa sasa Yanga ikinyakua matuzo huko sijui watukuwa katika hali gani...
Mayele ni mchezaji wa yanga?
 
Jinsi li club lenu lilivyopangwa la mwisho kwny list ndo litakua la mwisho kwny kila tuzo... 🐸 🐸 🐸
 
Ninyi mlikuwa mnaongea zaidi yetu kwenye African Football League (AFL) na hamkuwemo hata kwenye orodha ya wageni kwenye ufunguzi. Ilikuwaje b...?

Ova
Hahahaaaaaa nimechekaaaaa! Kwanza nilijua hii huwezi kuruka, utaingia tu mzima mzima maana inachoma.

Mambo ya AFL yameshapita b… tuko kwenye tuzo za CAF sasa hivi.
Walioishia robo fainali hii sio sehemu yao.
 
The ultimate winner of each category will be decided after votes from a voting panel consisting of CAF Technical Committee, media professionals, Head Coaches & Captains of Member Associations and clubs involved in the group stages of the Interclub competitions
Labda muhonge...mnakuwaje club bora mbele ya alhaly ilochukua club bingwa hebu kwanza ncheke...
Labda kama kuna sababu tofauti..labda kwa sbb mlikua club dhoofu bin hali mkaibuka kama uyoga...hapo labda...
 
Haki haita tendeka.

Yanga tunaweza kupiga kura nyingi sana na kuongoza lakini

1.Alhly
2. Onana.
Hawa hata tufanye nini hatuwezi kuwafikia.
 
Labda muhonge...mnakuwaje club bora mbele ya alhaly ilochukua club bingwa hebu kwanza ncheke...
Labda kama kuna sababu tofauti..labda kwa sbb mlikua club dhoofu bin hali mkaibuka kama uyoga...hapo labda...
Kama wewe uliweza kucheza AFL huku ukiwa hujawahi kunusa hata nusu fainali pia misimu miwili iliyopita hujawahi kuchukua kombe lolote lile basi hakuna linaloshindikana.
 
Kama wewe uliweza kucheza AFL huku ukiwa hujawahi kunusa hata nusu fainali pia misimu miwili iliyopita hujawahi kuchukua kombe lolote lile basi hakuna linaloshindikana.
Tuendelee kukesha na kufunga kwa maombi...
 
Kama wewe uliweza kucheza AFL huku ukiwa hujawahi kunusa hata nusu fainali pia misimu miwili iliyopita hujawahi kuchukua kombe lolote lile basi hakuna linaloshindikana.

Ila kwa jinsi mlivyotoka mavumbini na kuja kwny uso wa dunia..kweli lolote linaweza tokea...
 
The ultimate winner of each category will be decided after votes from a voting panel consisting of CAF Technical Committee, media professionals, Head Coaches & Captains of Member Associations and clubs involved in the group stages of the Interclub competitions.

hizooo panel ndio tatizo ingekuwa kura tuu wangejua hawajui.
 
Back
Top Bottom