Ninyi mlikuwa mnaongea zaidi yetu kwenye African Football League (AFL) na hamkuwemo hata kwenye orodha ya wageni kwenye ufunguzi. Ilikuwaje b...?Tumeshasema huu mjadala kama timu yako haipo kaa kimya.
Mayele ni mchezaji wa yanga?Wakina Mwakarobo walikuwa wanasema tuonyesheni kiatu cha Mayele cha ufungaji bora shirikisho sasa sijui wataweka wapi sura zao hiyo siku.
Tuzo ya Sakho ya goli bora walifanya wimbo wa Taifa sasa Yanga ikinyakua matuzo huko sijui watukuwa katika hali gani...
Hahahaaaaaa nimechekaaaaa! Kwanza nilijua hii huwezi kuruka, utaingia tu mzima mzima maana inachoma.Ninyi mlikuwa mnaongea zaidi yetu kwenye African Football League (AFL) na hamkuwemo hata kwenye orodha ya wageni kwenye ufunguzi. Ilikuwaje b...?
Ova
Labda muhonge...mnakuwaje club bora mbele ya alhaly ilochukua club bingwa hebu kwanza ncheke...The ultimate winner of each category will be decided after votes from a voting panel consisting of CAF Technical Committee, media professionals, Head Coaches & Captains of Member Associations and clubs involved in the group stages of the Interclub competitions
Kwa sasa sio Yanga.Mayele ni mchezaji wa yanga?
Kama wewe uliweza kucheza AFL huku ukiwa hujawahi kunusa hata nusu fainali pia misimu miwili iliyopita hujawahi kuchukua kombe lolote lile basi hakuna linaloshindikana.Labda muhonge...mnakuwaje club bora mbele ya alhaly ilochukua club bingwa hebu kwanza ncheke...
Labda kama kuna sababu tofauti..labda kwa sbb mlikua club dhoofu bin hali mkaibuka kama uyoga...hapo labda...
Tuendelee kukesha na kufunga kwa maombi...Kama wewe uliweza kucheza AFL huku ukiwa hujawahi kunusa hata nusu fainali pia misimu miwili iliyopita hujawahi kuchukua kombe lolote lile basi hakuna linaloshindikana.
Kama wewe uliweza kucheza AFL huku ukiwa hujawahi kunusa hata nusu fainali pia misimu miwili iliyopita hujawahi kuchukua kombe lolote lile basi hakuna linaloshindikana.
The ultimate winner of each category will be decided after votes from a voting panel consisting of CAF Technical Committee, media professionals, Head Coaches & Captains of Member Associations and clubs involved in the group stages of the Interclub competitions.
Ingekuwa kura zote zingekuja bongohizooo panel ndio tatizo ingekuwa kura tuu wangejua hawajui.