Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Bado uwanja Mtupu au mpaka hadi tusemwe ndio tununue tiketi,tulichozoea ni kunywa supu ila Azam na Tabora wamekatia ham ya supu. ðŸ˜ðŸ˜ Tukutane kesho uwanjani mashabiki wa Yanga Sc 💚
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho siku ya kazi tatizo 😀😀Shida ni kwamba hamtaki kukubaliana na ukweli kuwa timu yenu ina mashabiki wachache.
Mkilikubali hilo mtaishi vizuri.
Lakini kama kila kitu mnachotaka kukifanya mnaangalia Simba kilikuwaje hapo mtaishia kulaumiana tu.
Una hakika wakisema kesho kutakuwa na supu ya bure kuna uwezekano supu ikakosa wanywaji kwasababu ni siku ya kazi?Kesho siku ya kazi tatizo 😀😀
Huo ndio ukweliShida ni kwamba hamtaki kukubaliana na ukweli kuwa timu yenu ina mashabiki wachache.
Supu muhimu sanaUna hakika wakisema kesho kutakuwa na supu ya bure kuna uwezekano supu ikakosa wanywaji kwasababu ni siku ya kazi?
Hili ndilo jibu, weekday. Anayesema hatuna mashabiki. Mara ya mwisho tumekutana na madunduka, Yanga tulijaa, ilibidi wakae hadi upande wa hao madomo kaya.Kesho siku ya kazi tatizo 😀😀
Naunga mkono hoja tajiri yangu tukutane VIP b kesho inshallah tutashinda inshallahHili ndilo jibu, weekday. Anayesema hatuna mashabiki. Mara ya mwisho tumekutana na madunduka, Yanga tulijaa, ilibidi wakae hadi upande wa hao madomo kaya.
Kuna mashabiki wa mikoani, kwa siku ya kazi, kwao inawakuwa ngumu. Atakayeelewa ataelewa. Atakayejifanya bichwa lake gumu kuelewa tumuangalie tu kama nyanya mbichi.
#yangabingwa
#since1935
Kuliko kazi?Supu muhimu sana
Siku ya kazi kupata mashabiki ngumu sanaKuliko kazi?
Siku ya kazi?? Stop making excusesHili ndilo jibu, weekday. Anayesema hatuna mashabiki. Mara ya mwisho tumekutana na madunduka, Yanga tulijaa, ilibidi wakae hadi upande wa hao madomo kaya.
Kuna mashabiki wa mikoani, kwa siku ya kazi, kwao inawakuwa ngumu. Atakayeelewa ataelewa. Atakayejifanya bichwa lake gumu kuelewa tumuangalie tu kama nyanya mbichi.
#yangabingwa
#since1935
Kama hizo takwimu ni sahihi basi wamejitahidi. Mashabiki wa Yanga mechi za 50/50 wanaziogopa sana.Bado uwanja Mtupu au mpaka hadi tusemwe ndio tununue tiketi,tulichozoea ni kunywa supu ila Azam na Tabora wamekatia ham ya supu. ðŸ˜ðŸ˜ Tukutane kesho uwanjani mashabiki wa Yanga Sc 💚
Sio kweliSiku ya kazi kupata mashabiki ngumu sana
Kila mmoja atakalia siti mbiliMashabiki alf 10 wa Yanga mnataka mjaze uwanja wa watu alfu 60!!?
Haiwezekani.
Ila tukiitiwa supu tutajaa hata iwe siku ya kazi. "Mie nipewe kidari" alisikika mwiko nyumaHili ndilo jibu, weekday. Anayesema hatuna mashabiki. Mara ya mwisho tumekutana na madunduka, Yanga tulijaa, ilibidi wakae hadi upande wa hao madomo kaya.
Kuna mashabiki wa mikoani, kwa siku ya kazi, kwao inawakuwa ngumu. Atakayeelewa ataelewa. Atakayejifanya bichwa lake gumu kuelewa tumuangalie tu kama nyanya mbichi.
#yangabingwa
#since1935