Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I stand alongside Mpina.Wahamiaji wamepewa mamlaka ya kufanya maamuzi ya nchi ,rf incumbent CDF.Bila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina.
Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo:
"NASIMAMA NA MPINA",
Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za kumnyamazisha.
NB: Huu siyo uzi wa kupiga stori, andika hayo maneno matatu tu. Comment ya kwanza nimeonesha mfano.
PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge
- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya
- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Mwaka ujao watashika adabu! Polisi hawataiba tena kura, kustaafu kikotoo kimewamaliza. Badala ya kupata mil 80 unapata 30mil. Dadeki!Hukumu utaitekeleza vipi wakati wahuni hawategemei kura ya mtu. Wanashinda "kwa kishindo" kupitia wizi tu..
#NASIMAMA NA MPINA
Hata siku moja.But hutaki combination ya lisu na mbowe
Hata wewe ni kichaa maana umesoma alichoandika kichaa na kuelewaMagu alimwita kichaa anaesimama nakichaa nayeye ni ................
Elewa nimetoa msemo unaweza kuhadithia matendo ya kichaa huwezi kuwa kichaa ilaukishirikiana nae kichaa ndio utakuwa ........ Ukitembea namwizi nawewe utakuwa mwizi lakini ukiibiwa nakuhadithia huwezi kuwa mwizi jitahidi kutafakari kidogoHata wewe ni kichaa maana umesoma alichoandika kichaa na kuelewa
Kwani mtawafanya nini? Nyie siyo Wakenya!Moja ya shida kuwa ya Hawa viongozi wanaamini wananchi hatuna Cha kuwa Fanya
Nasimama na MpinaBila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina.
Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo:
"NASIMAMA NA MPINA",
Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za kumnyamazisha.
NB: Huu siyo uzi wa kupiga stori, andika hayo maneno matatu tu. Comment ya kwanza nimeonesha mfano.
PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge
- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya
- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Safi sana mkuu. Mpina alindwe!Nasimama na Mpina
Mpina alizulumu wavuvi kwa tamaa zake nahata sasa nitamaa zinamsumbua mpina nimuovu hajawahi kutubu anaendeleza uovu wake kichaa yuleNasimama na Mpina
Bashe kamuibia nani tena huko ?Nasimama na Luhaga Mpina. Nakemea wizi wa Bashe na serikali yake
Nasimama na Mpina.Nasimama na mpina
We jamaa/mdada kumbe una akili hivi?Mkuu ni kweli. Lkn watu hujifunza kutokana na makosa na kisha hubadilika.
Hata shetani alikuwa malaika mkuu. Je, tuendelee kuheshimu asili yake (alipokuwa malaika) ama tumhukumu kwa kazi zake za sasa?
NASIMAMA NA MPINABila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina.
Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo:
"NASIMAMA NA MPINA",
Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za kumnyamazisha.
NB: Huu siyo uzi wa kupiga stori, andika hayo maneno matatu tu. Comment ya kwanza nimeonesha mfano.
PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge
- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya
- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia