Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Hakika haiingii akili kumsikia katibu mkuu wa CCM eti anasema wananchi hawataki katiba mpya. Bw. Chongolo napenda nikukumbushe mchakato wa katiba mpya ulifanywa na tume ya Warioba na kina Polepole, Kabudi na wengine. Tume ya Warioba ilizunguka nchi nzima kukusanya maoni na mapendekezo ya Katiba tuitakayo.
Kama wananchi tungekuwa hatutaki katiba mpya tusingetoa maoni na mapendekezo ya katiba tuitakayo kwa tume ya Warioba.
Kumbuka wewe ni kiongozi hivyo sio vema kupotosha ukweli chadema ina viongozi wanachama na wafuasi hao wote hao ni wananchi na wana haki ya kudai katiba mpya kama wananchi.
Kama wananchi tungekuwa hatutaki katiba mpya tusingetoa maoni na mapendekezo ya katiba tuitakayo kwa tume ya Warioba.
Kumbuka wewe ni kiongozi hivyo sio vema kupotosha ukweli chadema ina viongozi wanachama na wafuasi hao wote hao ni wananchi na wana haki ya kudai katiba mpya kama wananchi.