Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Wananchi wa Jimbo la Bumbuli mkoani Tanga, linaloongozwa na Mbunge Januari Makamba, wameeleza shukrani zao kwa Serikali kwa kuwafikishia miradi mbalimbali ya maendeleo kupitia mbunge wao, ikiwemo huduma za umeme, maji, na ujenzi wa zahanati.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wananchi hao wameeleza kuwa Bumbuli ya sasa imepiga hatua kubwa ikilinganishwa na miaka iliyopita, huku wakimsifu Makamba kwa usimamizi thabiti wa miradi ya maendeleo.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
“Tumefanya tathmini, hakuna mtu wa kukutoa hapa. Ubunge labda uache wewe mwenyewe tu, lakini Bumbuli ya mwaka 2010 sio Bumbuli ya leo. Tumepata maendeleo makubwa sana,” amesema mmoja wa wakazi wa eneo hilo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wananchi hao wameeleza kuwa Bumbuli ya sasa imepiga hatua kubwa ikilinganishwa na miaka iliyopita, huku wakimsifu Makamba kwa usimamizi thabiti wa miradi ya maendeleo.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
“Tumefanya tathmini, hakuna mtu wa kukutoa hapa. Ubunge labda uache wewe mwenyewe tu, lakini Bumbuli ya mwaka 2010 sio Bumbuli ya leo. Tumepata maendeleo makubwa sana,” amesema mmoja wa wakazi wa eneo hilo.